Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,929
Mweupe alikuwa anavaa miwani ya macho
Aiseee!huyo ndio tulianza nae,alikuaga shem wangu cjui ile bond yao iliendelea au vp,yan nilijua labda angekuja kuwa mwanamziki!
Mweupe alikuwa anavaa miwani ya macho
We misonge umempatia tilly, kama namuona kavaa leather jacket yupo stage anaimba.
chizenga wewe ndo ulikuwa R. Kelly wetu kwenye disco la mkwawa.. ha ha haaa
haaaa!haaaa!haaa!pamoja kaka C!ilikuwa raha sana Mkwawa!unforgetable moments
mgimwa alikuwa anasikia tu chizenga mtundu,akawa ananitafuta sana lakini hanipati live,kuna siku alikuja bweni kapata taarifa kabisa mi nime-doji niko bweni,akachukua funguo ya bweni akaingia akafunga bweni akaja ndani,nikakurupuka nikaenda juu ya dari!akaanza kuniambia chizenga shuka tafadhali,nikapiga kimya!wakanisubiri takribani masaa 2!sikushuka kamwe!akanikosa!akaendelea kupata stori zangu za utundu,kuna siku akaniita akaniambia "chizenga haufanani kabisa na kuwa mtoto mtundu,unaonekana kijana mstaarabu,jirekebishe" amini usiamini maneno yake yalifanya kazi kuliko ningechapwa viboko 1000!nilibadilika toka sekunde ile....I am a good guy FOREVER!
Mkuu kumbe uliish lumumba west! Uliposema kujificha darini umenikumbusha "kombolela" vp, alikuita kwa kutumia "kitende"?mgimwa alikuwa anasikia tu chizenga mtundu,akawa ananitafuta sana lakini hanipati live,kuna siku alikuja bweni kapata taarifa kabisa mi nime-doji niko bweni,akachukua funguo ya bweni akaingia akafunga bweni akaja ndani,nikakurupuka nikaenda juu ya dari!akaanza kuniambia chizenga shuka tafadhali,nikapiga kimya!wakanisubiri takribani masaa 2!sikushuka kamwe!akanikosa!akaendelea kupata stori zangu za utundu,kuna siku akaniita akaniambia "chizenga haufanani kabisa na kuwa mtoto mtundu,unaonekana kijana mstaarabu,jirekebishe" amini usiamini maneno yake yalifanya kazi kuliko ningechapwa viboko 1000!nilibadilika toka sekunde ile....I am a good guy FOREVER!
na kupigana mitungo kulikuwemo usisahau mkuu.Upande wa akina dada, ni wachache sana waliopitia huko na wakatoka salama bila kufanya biashara ya ngono unwillingly.
mkuu umenikumbusha na mama Mazengo akisimama kuonge hamalizi! Mpaka anapigiwa kelele za "samaraiziiiii!" na kupigiwa makofi.Mmemsahau mama Massawe jamani ! Mama alikuwa mnoko yule. Sijui hata sasa hivi yuko wapi
mkuu umenikumbusha na mama Mazengo akisimama kuonge hamalizi! Mpaka anapigiwa kelele za "samaraiziiiii!" na kupigiwa makofi.
Kiukweli ile shule ilikua inabadilisha watu sana,Upande wa akina dada, ni wachache sana waliopitia huko na wakatoka salama bila kufanya biashara ya ngono unwillingly.
Halafu huyu mama alikuaga haelewi hata akipigiwa makofi yeye anaendelea tu kuongea sijui alikua anafikiri watu wanafurahia!!!mkuu umenikumbusha na mama Mazengo akisimama kuonge hamalizi! Mpaka anapigiwa kelele za "samaraiziiiii!" na kupigiwa makofi.
Kweli kabisa, tuliosoma seminari tulipata taabu kweli kuzoea maisha ya pale...Kiukweli ile shule ilikua inabadilisha watu sana,
Wale waliokuja pale wakiwa tayari wameshazoea maisha ya mjini,shule za mchanganyiko na Boys wala hawakupata shida na wengi wetu tuliyaona maisha ni ya kawaida tu na kuyaenjoy,
Ila wale ambao hawakuwahi kuishi na boys hasa maisha ya shule na ya uhuru km ulikokuwa pale dah!wengi walichanganyikiwa yani waliharibikiwa mpaka zahma za mitungo zilikuwa zinawakumba kwa kutowajua wavulana walivo!!
Mpaka tunamaliza walishakua watu tofauti kbs tena wajanja kuliko hata wa mjini lol!
Nikweli kbs,mie japo nilisoma shule ya mission but hm tulilua tunaishi nyumba za kota so nilikua nimeshazoea kujichanganya na watoto na majiran wa tabia mbali mbali,Kweli kabisa, tuliosoma seminari tulipata taabu kweli kuzoea maisha ya pale...
Mkuu kumbe uliish lumumba west! Uliposema kujificha darini umenikumbusha "kombolela" vp, alikuita kwa kutumia "kitende"?