Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,265
- 8,094
Majina yenu tujuane wana Mazengo. Mzee malago, mzee mdushi, na yule mwalimu wa physics alikuwa anaitwa nani?
nani? Mbaga mhuni wa kufundisha mara moja kwa miezi miwili
Majina yenu tujuane wana Mazengo. Mzee malago, mzee mdushi, na yule mwalimu wa physics alikuwa anaitwa nani?
Wapi Ishengoma?wale Wa azimio au walosoma woodwork wanamjua,mama mwenda chemistry o level,magomola (R.I.P),Mavere(R.I.P) ,kibona,tandike,mshumbuzi,Malima mzee Wa basketball, komba,
Na mkuu Wa shule mgohamwende,
Mazengo ya jana hiyo. Ya zamani zile second master Msasa. Akina Mwl Nyanda baadaye tume ya mionzi. Mwl Matthew mhindi na Mlaponi wakali wa Biology. Former Naibu Waziri wa Elimu Bujiku na Physical Chemistry yake.
Duuuh
nakumbuka kucheki "isidingo ze need" Kikuyu
Kumwagilia bustani
Kulindaa
Makofi ya mshumbusi
Naikumbuka Azimio room 3 up
Nakumbuka kudabo nyuka
Nakumbuka kufuta taree ktk meal card
namkumbuka mama Chakoo na bili yangu ya banzi aka mitaa
nakumbuka jamaa aliogelea wota rizivaa
Duuuh
nakumbuka kucheki "isidingo ze need" Kikuyu
Kumwagilia bustani
Kulindaa
Makofi ya mshumbusi
Naikumbuka Azimio room 3 up
Nakumbuka kudabo nyuka
Nakumbuka kufuta taree ktk meal card
namkumbuka mama Chakoo na bili yangu ya banzi aka mitaa
nakumbuka jamaa aliogelea wota rizivaa
wapi Mtangoo
wapi Mwigulu Mchemba
Wapi Salim Sekiete
wapi Abdul Mahobe
wapi Matungwa William
Wapi Nalogwa
wapi Somangiza
wapi Ibrahim Siraji
wapi Erasto Mbeya
wapi Mnaijeria
wapi Okonko
wapi Asifiwe Edward
Wapi Isaac Magobo
wapi Magong'o Mayala
wapi Chisaluni
wapi Msigala aka siga boy
wapi Haji Nura aka Nura babastazz
wapi braza Komba
wapi Masasila
wapi Ustazz Swalehe
wapi Gange
wapi Samwel Ntakamulenga
wapi Theodory
wapi Ramadhan
wapi Kyaruzi
Wapi Magadula aka Mg
wapi Ndebile Begesheni
wapi Mohamed Kisamfu
wapi dogo Makete
wapi Vyansekale Vizakumwe
wapi Mkama Magambo
wapi Edwin Kihumbe
wapi Tibiyi Washa
wapi Jovin aka waunga
wapi Mwita Marwa
wapi Misalaba
wapi Amour Abdallah aka Mullah
wapi Adam
wap Kwapakacha aka Kwapa K
wapi Justine
Wapi John Nzumbi
Duuuuuh
wana wote wa Azimio kwa baba Ishe,wana wote wa Mwongozo ,Mwenge,Muungano na Ujamaa aka wu-jamaa bila kusahau wana wa ku stay beach heshima kwenyu
Umenikumbusha Mlaponi Jamaa kipara bingwa wa biology
Mnakumbuka ile bustani ua Chinese pale karibu na geti la kuingilia adminstration??
Hahaha ile garden ilikua pale mkono wa kushoto kama unaingia gate la admin! Hivi naskia hii shule imekua university sijui ni true, na bweni langu ujamaa aka cosovo hope limeboreshwa
Duuuh
nakumbuka kucheki "isidingo ze need" Kikuyu
Kumwagilia bustani
Kulindaa
Makofi ya mshumbusi
Naikumbuka Azimio room 3 up
Nakumbuka kudabo nyuka
Nakumbuka kufuta taree ktk meal card
namkumbuka mama Chakoo na bili yangu ya banzi aka mitaa
nakumbuka jamaa aliogelea wota rizivaa
wapi Mtangoo
wapi Mwigulu Mchemba
Wapi Salim Sekiete
wapi Abdul Mahobe
wapi Matungwa William
Wapi Nalogwa
wapi Somangiza
wapi Ibrahim Siraji
wapi Erasto Mbeya
wapi Mnaijeria
wapi Okonko
wapi Asifiwe Edward
Wapi Isaac Magobo
wapi Magong'o Mayala
wapi Chisaluni
wapi Msigala aka siga boy
wapi Haji Nura aka Nura babastazz
wapi braza Komba
wapi Masasila
wapi Ustazz Swalehe
wapi Gange
wapi Samwel Ntakamulenga
wapi Theodory
wapi Ramadhan
wapi Kyaruzi
Wapi Magadula aka Mg
wapi Ndebile Begesheni
wapi Mohamed Kisamfu
wapi dogo Makete
wapi Vyansekale Vizakumwe
wapi Mkama Magambo
wapi Edwin Kihumbe
wapi Tibiyi Washa
wapi Jovin aka waunga
wapi Mwita Marwa
wapi Misalaba
wapi Amour Abdallah aka Mullah
wapi Adam
wap Kwapakacha aka Kwapa K
wapi Justine
Wapi John Nzumbi
Duuuuuh
wana wote wa Azimio kwa baba Ishe,wana wote wa Mwongozo ,Mwenge,Muungano na Ujamaa aka wu-jamaa bila kusahau wana wa ku stay beach heshima kwenyu
Duuuh
nakumbuka kucheki "isidingo ze need" Kikuyu
Kumwagilia bustani
Kulindaa
Makofi ya mshumbusi
Naikumbuka Azimio room 3 up
Nakumbuka kudabo nyuka
Nakumbuka kufuta taree ktk meal card
namkumbuka mama Chakoo na bili yangu ya banzi aka mitaa
nakumbuka jamaa aliogelea wota rizivaa
wapi Mtangoo
wapi Mwigulu Mchemba
Wapi Salim Sekiete
wapi Abdul Mahobe
wapi Matungwa William
Wapi Nalogwa
wapi Somangiza
wapi Ibrahim Siraji
wapi Erasto Mbeya
wapi Mnaijeria
wapi Okonko
wapi Asifiwe Edward
Wapi Isaac Magobo
wapi Magong'o Mayala
wapi Chisaluni
wapi Msigala aka siga boy
wapi Haji Nura aka Nura babastazz
wapi braza Komba
wapi Masasila
wapi Ustazz Swalehe
wapi Gange
wapi Samwel Ntakamulenga
wapi Theodory
wapi Ramadhan
wapi Kyaruzi
Wapi Magadula aka Mg
wapi Ndebile Begesheni
wapi Mohamed Kisamfu
wapi dogo Makete
wapi Vyansekale Vizakumwe
wapi Mkama Magambo
wapi Edwin Kihumbe
wapi Tibiyi Washa
wapi Jovin aka waunga
wapi Mwita Marwa
wapi Misalaba
wapi Amour Abdallah aka Mullah
wapi Adam
wap Kwapakacha aka Kwapa K
wapi Justine
Wapi John Nzumbi
Duuuuuh
wana wote wa Azimio kwa baba Ishe,wana wote wa Mwongozo ,Mwenge,Muungano na Ujamaa aka wu-jamaa bila kusahau wana wa ku stay beach heshima kwenyu
Head Master Asseri na deputy wake Kirimbai.
Mr. Oisso wa Chemistry na yule Mzee Mu-Australia alikuwa akifundisha pia dini.
Majina yenu tujuane wana Mazengo. Mzee malago, mzee mdushi, na yule mwalimu wa physics alikuwa anaitwa nani?
Shikamoo Kaka. Kama umepita mikononi mwa Asseri basi wewe mi Kaka yangu kabisa, heheheheeee......
mu-Australia mwalimu wa hesabu mrefu mwembamba. Alikuwa akiitwa Pierce kama sijakosea jina lake.
Alikuwepo mwanafunzi akiitwa Kichichi Chacha.... Pierce siku moja akasema kwa Kiswahili ila lafudhi ya Kiingereza "nimegundua kuwa Waafrica wanaitana majina kulingana na mboga zao. Kichichi Chacha inafanana na Mchicha".
Hivi huyu Second Master tulikuta wanamtukana ukutani anaitwa Dudu ulimwacha?
Shikamoo Kaka. Kama umepita mikononi mwa Asseri basi wewe mi Kaka yangu kabisa, heheheheeee......
mu-Australia mwalimu wa hesabu mrefu mwembamba. Alikuwa akiitwa Pierce kama sijakosea jina lake.
Alikuwepo mwanafunzi akiitwa Kichichi Chacha.... Pierce siku moja akasema kwa Kiswahili ila lafudhi ya Kiingereza "nimegundua kuwa Waafrica wanaitana majina kulingana na mboga zao. Kichichi Chacha inafanana na Mchicha".
Hivi huyu Second Master tulikuta wanamtukana ukutani anaitwa Dudu ulimwacha?
Mkuu, upo vizuri kwenye kumbukumbu. Nilikuwa najaribu kumkumbuka Pierce. Ulikuwepo wakati wa Sakila Bujiku?
Nashukuru kunikumbusha jina la Mr PIERCE.
Second Master Kirimbai, Mmasai aliyesoma Ulaya na kuishia kuongea Kiswahili kwa shida, ndiye aliyepewa jina la DUDU.
Kutoka pale Mr Kirimbai aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa National Sports Council.
Aiseee imekua St johns University ila vile vyoo vyenu mlikua mnakunya saaana mpaka sasa bado kuna nuka aiseee
Mnakukumbuka Sudan, Kyue chini tuligoma Eraskto akabeba kengere akaipigia Sudani Dah!