Duuuh
nakumbuka kucheki "isidingo ze need" Kikuyu
Kumwagilia bustani
Kulindaa
Makofi ya mshumbusi
Naikumbuka Azimio room 3 up
Nakumbuka kudabo nyuka
Nakumbuka kufuta taree ktk meal card
namkumbuka mama Chakoo na bili yangu ya banzi aka mitaa
nakumbuka jamaa aliogelea wota rizivaa
wapi Mtangoo
wapi Mwigulu Mchemba
Wapi Salim Sekiete
wapi Abdul Mahobe
wapi Matungwa William
Wapi Nalogwa
wapi Somangiza
wapi Ibrahim Siraji
wapi Erasto Mbeya
wapi Mnaijeria
wapi Okonko
wapi Asifiwe Edward
Wapi Isaac Magobo
wapi Magong'o Mayala
wapi Chisaluni
wapi Msigala aka siga boy
wapi Haji Nura aka Nura babastazz
wapi braza Komba
wapi Masasila
wapi Ustazz Swalehe
wapi Gange
wapi Samwel Ntakamulenga
wapi Theodory
wapi Ramadhan
wapi Kyaruzi
Wapi Magadula aka Mg
wapi Ndebile Begesheni
wapi Mohamed Kisamfu
wapi dogo Makete
wapi Vyansekale Vizakumwe
wapi Mkama Magambo
wapi Edwin Kihumbe
wapi Tibiyi Washa
wapi Jovin aka waunga
wapi Mwita Marwa
wapi Misalaba
wapi Amour Abdallah aka Mullah
wapi Adam
wap Kwapakacha aka Kwapa K
wapi Justine
Wapi John Nzumbi
Duuuuuh
wana wote wa Azimio kwa baba Ishe,wana wote wa Mwongozo ,Mwenge,Muungano na Ujamaa aka wu-jamaa bila kusahau wana wa ku stay beach heshima kwenyu