Kuna uhusiano gani kati ya hili jukwaa la kazi na mvua? Au unataka kuzungumzia vibarua vinavyotokea kukiwa na mafuriko? kama vip wafuate wenzako kwenye majukwaa ya siasa n.k
Nafikiri mtoa mada alitaka kuwajulisha wale jamaa zangu wa mtaani wasubiri mvua inyeshe na maji yaje barabarani halafu waanze kazi ya kuvusha watu..... nafikiri that was the logic behind
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.