Baada ya mvua kubwa zilizoharibu kila zao lililopandwa, sasa zimetulia.
Ikifika saa 8:30 mpaka saa 9:00 jioni, kunakuwa na wingu zito sana kama vile mvua kubwa itanyesha sasa hivi. Kila mtu anakimbizana kuwahi kujikinga na mvua.
All of a suden after 30 minutes /1 hr or so, wingu zito linayeyuka na jua linatoka likiwa kali. Leo ni observation ya tatu!
Hali hiyo inaletwa na nini? scientific explanation ni ipi?
Ikifika saa 8:30 mpaka saa 9:00 jioni, kunakuwa na wingu zito sana kama vile mvua kubwa itanyesha sasa hivi. Kila mtu anakimbizana kuwahi kujikinga na mvua.
All of a suden after 30 minutes /1 hr or so, wingu zito linayeyuka na jua linatoka likiwa kali. Leo ni observation ya tatu!
Hali hiyo inaletwa na nini? scientific explanation ni ipi?