Mamlaka ya hali ya hewa (TMA) tunaomba maelezo juu ya hili

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,402
74,011
Baada ya mvua kubwa zilizoharibu kila zao lililopandwa, sasa zimetulia.

Ikifika saa 8:30 mpaka saa 9:00 jioni, kunakuwa na wingu zito sana kama vile mvua kubwa itanyesha sasa hivi. Kila mtu anakimbizana kuwahi kujikinga na mvua.

All of a suden after 30 minutes /1 hr or so, wingu zito linayeyuka na jua linatoka likiwa kali. Leo ni observation ya tatu!

Hali hiyo inaletwa na nini? scientific explanation ni ipi?
 
Upo mkoa gani!!?

Na maana yangu!!

Kama upo Pwani hasa Dar jiandae!!

Kama ni dom au pande nyingine jiandae IPO siku kimbunga plus stones of snow zitashuka Kwa sana!!
 
Senene watakuwa wengi Krismas Hii 😀

Senene ni watamu kushinda nyama - MULEBA-PAZURI,Kagera ...


Senene ni watamu kushinda nyama - MULEBA-PAZURI,Kagera ...
1701526743087.png
Facebook


I love Kagera: Senene


I love Kagera: Senene
1701526743158.png
I love Kagera


Tanzania - Senene (Senator) - Finmail


Tanzania - Senene (Senator) - Finmail
1701526743224.png
Finmail




View: https://youtu.be/ZQIzt2mq9uM
 
Kumbe ume observe hilo, juzi hali ya hewa ilisimamia kucha nilikimbiza pkpk kuwah home ile nafika kunapambazuka dah nlitukana ma2c yote, jana same leo pia hadi radi zikasikika ila wapi
 
Kumbe ume observe hilo, juzi hali ya hewa ilisimamia kucha nilikimbiza pkpk kuwah home ile nafika kunapambazuka dah nlitukana ma2c yote, jana same leo pia hadi radi zikasikika ila wapi
exactly! the same scenario here
 
Back
Top Bottom