Mr Kiroboto JF-Expert Member May 3, 2008 350 87 Dec 3, 2010 #21 unazungumzia uchafu upi?mbona mavii ya tembo ni dawa ya degedege na pepopunda
afrodenzi Platinum Member Nov 1, 2010 18,145 9,215 Dec 4, 2010 #22 hahahahahahahahahahahha sina mbavu eti material yote niliyosoma ime evaporate.... sante sana Kaka K.....
hahahahahahahahahahahha sina mbavu eti material yote niliyosoma ime evaporate.... sante sana Kaka K.....
Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,512 86,061 Dec 4, 2010 #24 Mr Kiroboto said: unazungumzia uchafu upi?mbona mavii ya tembo ni dawa ya degedege na pepopunda Click to expand... Ya kitimoto ni dawa ya pumu
Mr Kiroboto said: unazungumzia uchafu upi?mbona mavii ya tembo ni dawa ya degedege na pepopunda Click to expand... Ya kitimoto ni dawa ya pumu
TIMING JF-Expert Member Apr 12, 2008 24,910 11,306 Dec 4, 2010 #25 KK Vijana wetu wengi sana wanateseka na mabinti dizaini hiyo.... na wengi wao huishia kunawa tu, kula hawali hadi shule inaisha Ikisikia opportunist ndio huyo dada... Tafakari, chukua hatua...........
KK Vijana wetu wengi sana wanateseka na mabinti dizaini hiyo.... na wengi wao huishia kunawa tu, kula hawali hadi shule inaisha Ikisikia opportunist ndio huyo dada... Tafakari, chukua hatua...........
Msanii Platinum Member Jul 4, 2007 22,606 29,754 Dec 4, 2010 #26 aisee kainama vyema kabisa huyo mwali mlengwa-wima
Ng'azagala JF-Expert Member Jun 7, 2008 1,286 221 Jan 2, 2011 #29 hapa dawa ilikuwa kuhama kiti/meza otherwise siku imeharibika
M Mokoyo JF-Expert Member Mar 2, 2010 15,145 5,553 Jan 2, 2011 #30 hahahahaha sasa hii ni library ya UDSM, SUA, Tumaini, SAUT au Mzumbe hahahahaha au IFM na CBE? Loh elimu ya bongo vikwazo kila kona
hahahahaha sasa hii ni library ya UDSM, SUA, Tumaini, SAUT au Mzumbe hahahahaha au IFM na CBE? Loh elimu ya bongo vikwazo kila kona
Chelenje JF-Expert Member Oct 18, 2010 552 22 Jan 2, 2011 #31 Jamaa wa pembeni anasomea Mechanical Engineering, duuu!kweli nyanga ngumu!msalimu Dr. Elias na Mgwatu...tehe teh
Jamaa wa pembeni anasomea Mechanical Engineering, duuu!kweli nyanga ngumu!msalimu Dr. Elias na Mgwatu...tehe teh