Vyuo vilivyotoa majina hadi sasa

Vyuo vilivyotoa majina hadi sasa

St. Joseph kuna migogoro mf. Campus ya arusha wanafunzi waligoma wakafungiwa chuo siku 30 then kikafunguliwa na wanafunzi bado wamegoma kufanya end exam wakilalamikia kuwa chuo hakina mtaala(curriculum) na mwongozo wa jumla wa chuo(prospectus)

so sijui vijana wanaopelekwa pale wanaenda kusomaje huku hamna curriculum??
 
Hii imekuja baada ya tcu kuanza kutuma majina ya fresher kwenye website za vyuo husika,mpaka sasa,saut,udsm,makumira na st.francis mambo yapo hadharani,kwako unaetaka kujiangalia kupitia website ya tcu utakesha na pengine hutaambulia chochote kwa website yao iko busy,ushauri ni bora ukapititia kwenye website ya chuo husika,au jamii forum kuangalia kama waungana wametupia attachment

ww c unajidai mhnda moja! bas me mnanila moja
 
Back
Top Bottom