juve2012
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 3,343
- 2,022
Usiseme vyuo vikuu general bhana,sema vyuo vikuu wa kijani kama inavyoonekana pichani!kwanza vijana tunapenda "wababu" waongoze nchi na sio sisi!ikulu na bungeni ni vitu viwili tofauti!tutaingia bungeni lakini si ikulu,panahitaji maturity ya leadership ambayo inapatikana kwa uzoefu mwingi wa kuishi especially over 40"