Na ndio maana nikasema kwa kigezo cha PhD ni vyuo 2 tu ndivyo vitakavyobaki!!Kwa vigezo hivyo vitafungwa vyuo vingi sana. Pale MUHAS mwalimu ana master ana msupervise master student.. only in Tz
Na ndio maana nikasema kwa kigezo cha PhD ni vyuo 2 tu ndivyo vitakavyobaki!!Kwa vigezo hivyo vitafungwa vyuo vingi sana. Pale MUHAS mwalimu ana master ana msupervise master student.. only in Tz
mkuu post yako imenitisha kidogo. unaushahidi kweli na ulichokiandika? au ni majungu tu. siku hizi kuna software za kuditect plagiarism. waambieni hao maporofeseri wa vyuo vyetu wazitafute.Na kama nchini serikali inajua kabisa ya kuwa kuna makampuni tena yanajitangazia kuwaandikia watu Research proposal, thesis na mpaka data unapewa halafu serikali haifanyi chochote ujue hiyo nchi elimu yako iko kwenye rehani.
Na kitu chengine thesis moja inaweza kutumiwa na watu tofauti bila ya wasi wasi wowote na ukija suala la plagiarism huku ni balaa kabisa kwani naweza kusema more than 80% ya thesis zinazoandikwa na vyuo vya tz basi ziko hivyo
Kuna chuo kimoja cha prvt, kina matawi mikoa mingi, walimu wake nao ni tatizo,
Chama kitaingilia kati kunusuru wananchi wake.Ikiwa at least 50% wawe na PhD basi watabaki UDSM na SUA peke yao.... can she afford that?!
Nilichoandika hapo nina ushahidi nacho na wanafunzi wa mzumbe wanaongoza na kwa wanaosoma masomo ya biashaara ni kitu cha kawaida.mkuu post yako imenitisha kidogo. unaushahidi kweli na ulichokiandika? au ni majungu tu. siku hizi kuna software za kuditect plagiarism. waambieni hao maporofeseri wa vyuo vyetu wazitafute.
Hata chama kisipoingilia kati, yeye mwenyewe hawezi kuwa na huo ubavu wa kufuta vyuo vyote! Manake sidhani kama kuna chuo chenye at least 50% PhD Lecturers ukiondoa UDSM na SUA...Chama kitaingilia kati kunusuru wananchi wake.
Nilichoandika hapo nina ushahidi nacho na wanafunzi wa mzumbe wanaongoza na kwa wanaosoma masomo ya biashaara ni kitu cha kawaida.
Na kuna chuo kimoja kinaitwa ZANZIBAR UNIVERSITY kinatoa degree ya nursing ni aibu tupuNi kweli mkuu kwa hiyo Mzumbe hasa tawi la DSM ni shida. Kuna siku nilienda pale ukiwaangalia tu kwanza hao wanafunzi walivyo unaona kabisa hawa watu hawawezi andika hizo dessertations
Hahahahaha umenichekesha mkuuKwa uandishi huu, vifungwe tu. Master ndo nini?
Serikali ina mpango wa kukagua vyuo vikuu vyote nchini na vile ambavyo vitakuwa havina sifa itavifunga bila kusita kwani haitaki watanzania wafanyiwe majaribio katika elimu.
Taarifa hiyo imetolewa na waziri wa Elimu,Prof. Ndalichako ambaye amesema vyuo vingi havina sifa licha ya vyuo hivyo kupewa ithibati.
Prof. Ndalichako amesema inatakiwa angalau asilimia 50 ya walimu katika kila chuko kikuu kimoja wawe na shahada ya uzamivu(Ph.D) na kwamba haitakiwi mwalimu mwenye shahada ya kwanza kufundisha wanafunzi wa shahada ya kwanza.
Prof. ameongeza kuwa uwepo wa vyuo vingi visivyo na sifa kunapelekea uwepo wa vijana wengi wasio na ajira mitaani na hivyo kuongeza hasira.
Chanzo: Nipashe
Prof. Kaeleza mengi ambayo ninahakika yakifanyiwa kazi,vyuo vingi vitafungwa na itakuwa majanga makubwa.
Kweli kabisa, tisiyuu ni Jipu.Pia chanzo ni kuwapa mikopo wanafunzi wanaojiunga vyuo binafsi. Wanahongo huko TCU kusajili chuo then wao wanapiga hela kwa wanafunzi
Kwa medical school aliye kutangulia kusoma ndie mkubwa bro, Mwanafunzi wa masters(resident) husimamiwa na specialist au expert katika field husika na pia huyo resident anasifa za kuwasimamia MD students na Intern doctors. Mkuu utaalam wa maswala ya tiba ni exposure ktk cases mbalimbali na si vinginevyo.Kwa vigezo hivyo vitafungwa vyuo vingi sana. Pale MUHAS mwalimu ana master ana msupervise master student.. only in Tz
Nenda pia UDOM ukaone maajabu hayo kwenye baadhi ya Faculties.Kwa vigezo hivyo vitafungwa vyuo vingi sana. Pale MUHAS mwalimu ana master ana msupervise master student.. only in Tz