Roho Mbaya
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 777
- 670
Chama kipya ambacho kipo kwenye mchakato wa usajili na kinachoonekana kuja kuwa tishio dhidi ya vyama vingine.
Kimeanza kuwa nuru ya watanzania baada ya wasomi wa vyuo vikuu kuona kama chama kitakachokuwa mkombozi wa wanyonge.
Wanafunzi hao wameanza mchakato wa kuunda matawi ya chama hicho katika vyuo
Inasemekana mchakato huo tayar umeisha anza UDSM,UDOM,ST. AGUST - Mwanza na Mtwara pamoja na vyuo vingine viko nyuma ili kuunganisha nguvu ya pamoja
Kimeanza kuwa nuru ya watanzania baada ya wasomi wa vyuo vikuu kuona kama chama kitakachokuwa mkombozi wa wanyonge.
Wanafunzi hao wameanza mchakato wa kuunda matawi ya chama hicho katika vyuo
Inasemekana mchakato huo tayar umeisha anza UDSM,UDOM,ST. AGUST - Mwanza na Mtwara pamoja na vyuo vingine viko nyuma ili kuunganisha nguvu ya pamoja