Vyuo vikuu binafsi taabani kifedha


Leo nimetoka TRA,kodi yangu wamezidisha eti mara 2!

Nikamuuliza why,akasema eti kuna vi-penati fulani fulani,nikamjibu sawa bwana kama unaona ni haki kuonea wanadamu wenzio wenye nyama na damu kama wewe!

Then I left!

Halafu nione matako yeyote kwenye ukoo wangu anaipa CCM kura!Naua mtu!
 
Hii post yako ni ya kikuda. Haina ukweli wowote bali uongo uliokithiri. Unalifahamu kanisa katoliki wewe? Unafahamu vyuo vikuu pamoja na mifumo yake ilianzishwa na taasisi gani? Unafahamu kuwa wanasayansi ma-nguli wanaofahamika duniani asilimia kubwa sana wametengenezwa na kanisa katoliki? Acha mzaha wewe. Kama huna taarifa na tafiti za kutosha acha kutoa mapovu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM haitaji kura ili ishindee
Usije kusema sikukwambiaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitajie wanasayansi WaWili nguli wa kikatoliki. Toka vyuo vikuu vya kikatoliki.
**Kesho nitawataka ndugu zetu nao watutajie watalaamu (sio watengeneza mabomu ya kujitoa muhanga)
 
st geogle university,st matayo academy,St joshua college etc hivi vyuo vilikuwa kibiashara zaidi,wafunge tu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…