Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 7,073
- 10,545
😅😅😅😅Huwezi ukapata vyuo bora Tanzania kutokana na outcome yake... Lecturers kina Kabudu, Bashiru afu wanafunzi wao ndio kina Katambi 🤣 anatembea na katiba wakati ukimuuliza swali la katiba aliyoishika hawezi kujibu kwakutumia hiyo katiba!!.
Just imagine Rais wa wanafunzi ni Kiriba sijui KIRIBA TUMBO... Yupo busy kusifia upuuzi wa ccm!