Mr.samba de man
Member
- Sep 4, 2013
- 55
- 7
Jamaan huo ndo ukweli wa mambo ila nyie ambao chuo chenu hakijatajwa don fil bad coz mausha mazur hayatoki kweny chuo ulichosoma by the way ajira anaeza kupata mtu yyt kwa chuo chchot ila yo competence and GPA itakufanya uwe smwhr
kuna vyuo kama St.joseph havijatajwa lakn wahandisi wengi wa ict wametoka hapo na ni well appriciated mbona hakipo umetudanganya mkuu