AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,426
- 1,402
dogo haujielewi kabisa chuo ni bora kutokana n kozi mfano biashara n economics mzumbe hawajambo wanafuatiwa n udsm n muccobs afu swala zma la construction uclas(ardhi) mpango xna mfano building economics ipo ardhi n kenya 2 africa mashariki n kati afu sheria udsm wakifuatiwa n tumaini mambo ya engeneerin udsm hakunaga medicine n mambo ya udaktari muimbili inatisha ikifuatiwa n hubert then kcmc umeona mgodo wangu lakini over all udsm sokoine muimbili n hubert ogopaa sana ni kwa sababu unchunguzi huwa unaanggalia zaidi idadi ya maprofeseri katika chuo
no comment,true