Utaratibu wa vyuo vya kati (diploma )kuwasajili wanafunzi automatically na kugoma kufuta usajili unawaumiza watoto hawa

Utaratibu wa vyuo vya kati (diploma )kuwasajili wanafunzi automatically na kugoma kufuta usajili unawaumiza watoto hawa

Joined
Feb 4, 2023
Posts
39
Reaction score
75
Wadogo zangu wawili wamemaliza form four na wanatarajia kujiunga na diploma mwaka huu, sasa wote wamepata vyuo ambavyo sio machaguo yao, ila mmoja ameridhika kwa kuwa chuo kilichomchagua amepata kozi yenye mkopo HESLB.

Mwingine amechaguliwa chuo (st. John) ambacho kozi aliyopata haina mkopo na ameshasajiliwa automatically, lakini pia amepata chuo kingine ambapo kozi aliyopata ina mkopo, anajaribu kuwapigia st john awaelekeze kuwa anataka kubadili chuo wao wanakataa, na wanagoma kumfutia usajili ili adahiliwe chuo kingine.

Nipo kwenye wakati mgumu nashindwa namna ya kumsaidia
 
Back
Top Bottom