Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,659
Wengi hapa mnaogopa sana kuteswa
Je mnaweza kuiilinda nchi yenu mbele ya maadui
Je unaweza kuiilinda familia yako ipone ili we ufe
Huu uzi nilitegemea niwaone wanawake tu wakilia km kawaida yao
But for men, huu ni utani
Bahat nzur wiki hii YESU KRISTO wiki hii anaenda kupita mateso makali pale msalabani
Hebu fikria kijana Yesu na umri wake chini ya miaka 35
Alisimamia kile anachokiamini na alifikia malengo
Leo hii Yesu ndiye mtu maarufu Zaid duniani pengine na kwingne tuskokujua
. Yesu angeamua kuingia mitin leo hii angewekwa kundi moja na Yuda msalit
Kupitia Yesu huwa napata ujasiri uliopitiliza, leo hii wazee kwa vijana wanalitaja jina la Yesu
Fikria tu Mandela Unafikiri alipitia mateso gani
That nigger Martin Luther pale USA unafkr hakujua madhara atakayoyapata for condemning civil rights
Tusitiane uoga, naamini humu weng ni vijana, sasa sisi tukiwa waoga watoto wetu tutawafundisha nini?
Nina rafik yangu wa kiisraeli kwenye Mtandao huwa ananipa Challenge hadi nachoka, and he is only 23
We live once, thamani yako sio kuogopa kufa,.... Thamani yako ni kuifanya dunia iwe sehemu nzuri ya kuish
Toa mchongo wako hata ukifa familia, nchi, dunia ikukumbuke hata ukifa chini ya watu wabaya
Je mnaweza kuiilinda nchi yenu mbele ya maadui
Je unaweza kuiilinda familia yako ipone ili we ufe
Huu uzi nilitegemea niwaone wanawake tu wakilia km kawaida yao
But for men, huu ni utani
Bahat nzur wiki hii YESU KRISTO wiki hii anaenda kupita mateso makali pale msalabani
Hebu fikria kijana Yesu na umri wake chini ya miaka 35
Alisimamia kile anachokiamini na alifikia malengo
Leo hii Yesu ndiye mtu maarufu Zaid duniani pengine na kwingne tuskokujua
. Yesu angeamua kuingia mitin leo hii angewekwa kundi moja na Yuda msalit
Kupitia Yesu huwa napata ujasiri uliopitiliza, leo hii wazee kwa vijana wanalitaja jina la Yesu
Fikria tu Mandela Unafikiri alipitia mateso gani
That nigger Martin Luther pale USA unafkr hakujua madhara atakayoyapata for condemning civil rights
Tusitiane uoga, naamini humu weng ni vijana, sasa sisi tukiwa waoga watoto wetu tutawafundisha nini?
Nina rafik yangu wa kiisraeli kwenye Mtandao huwa ananipa Challenge hadi nachoka, and he is only 23
We live once, thamani yako sio kuogopa kufa,.... Thamani yako ni kuifanya dunia iwe sehemu nzuri ya kuish
Toa mchongo wako hata ukifa familia, nchi, dunia ikukumbuke hata ukifa chini ya watu wabaya