Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 4,175
- 12,994
- Thread starter
- #41
Ndo nguvu imeelekezwa huko Sasa hivi?Wenzako wapo bize kusaka malaya kila kona mpaka wanaua watu.
Hayo ya panya road wanaona siyo tatizo la kiusalama. Tatizo kubwa ni wale wanaojiuza miili yao.
Nchi ina vichaa wengi hii