Vyombo vya ulinzi mmewashindwa Panya Road?

Vyombo vya ulinzi mmewashindwa Panya Road?

Mkuu haya mambo hayahitaji short-cut. Trust me. 1000 digits kaandika vitu vya maana sana na amejaribu kwenda kwenye mzizi wa tatizo na siyo vinginevyo. Tukitaka kujikwamua ni lazima tukubali kusota na njia mojawapo ni kusoma na kuelewa mambo kwa mapana na marefu.
we umeisoma na kuilewa? haieleweki anataka maanisha nini..mie sio mvivu kusoma
 
Kuna jamaa yang aliwaacha waingie uwani kabisa akiwa anawaona kwenye camera kakaaa kimya walivyoingia watano 5 aliwalamba ote risasi alafu kimya asubuh polis wakafata mizoga yao.

Wawili walilambwa za miguu wengine kiunoni walobakia hai sjui kama wako mpaka leo.

Hao mkiamua kuwashughulikia ni kitendo cha masaa tu mtandao ote unamalizwa sababu wanajulikana na wanapokaa panajulikana.

Upumbavu wa mkoa huu ni kwamba kila mtu anajifanya ana maisha yake ya wengine hayamuhusu mpaka yamkute ndo mtu anaweza kuja kukugongea mlango
Sie kwetu kuna sungusungu na watu wengi wana miguu ya kuku. Siku moja walijaribu kuvamia kwenye nyumba moja , kipenga kikalia. Walipigika ,wakawataja na wenzao ambao wako kundi moja. Mpaka leo sijasikia kibaka au panda Road. Ukija usiku kama mgeni hukatishi mitaa yetu. Huku gari hata ikilia alarm sungusungu hao. Wana mitochi ina mwanga balaa.
 
Back
Top Bottom