Vyombo vya ulinzi mmewashindwa Panya Road?

Vyombo vya ulinzi mmewashindwa Panya Road?

H
Naona wamerudi Kwa Kasi Tena, wanapora, wanajeruhi, ni huzuni.

Jamaa yetu juzi Goba Kwa Madawa wamevamiwa mtaa mzima wamepigwa vibaya. Wameporwa pesa simu na vingine vya thamani. Wamefanyiwa ukatili, hawajali mjamzito Wala mzee wanapiga vibaya. Hili kundi walikua kama 20-30 Kwa idadi halafu mijibaba.

Kesho yake tena yani jana kundi jingine la wadogo wadogo wamevamia mtaa huko eneo linaitwa Kwa Mzungu, wamejeruhi, wamepora.

Wana silaha za jadi, marungu, mapanga, shoka, visu nk.

Wanavamia usiku wa manane, wanavunja milango watu wanaamriwa wavue nguo wanabaki Uchi huku wanapigwa vibaya.

Now haijulikani mtaa gani unafuatia
Hivi hamnaga number ile ya Police? Mtaa mzima unavamiwa haichukui dakika. Kwanini msiwapigie Simu Police?
 
Naona wamerudi Kwa Kasi Tena, wanapora, wanajeruhi, ni huzuni.

Jamaa yetu juzi Goba Kwa Madawa wamevamiwa mtaa mzima wamepigwa vibaya. Wameporwa pesa simu na vingine vya thamani. Wamefanyiwa ukatili, hawajali mjamzito Wala mzee wanapiga vibaya. Hili kundi walikua kama 20-30 Kwa idadi halafu mijibaba.

Kesho yake tena yani jana kundi jingine la wadogo wadogo wamevamia mtaa huko eneo linaitwa Kwa Mzungu, wamejeruhi, wamepora.

Wana silaha za jadi, marungu, mapanga, shoka, visu nk.

Wanavamia usiku wa manane, wanavunja milango watu wanaamriwa wavue nguo wanabaki Uchi huku wanapigwa vibaya.

Now haijulikani mtaa gani unafuatia
Wazazi wao Wasije kulaumu baadae kama wakati uliopita
 
Hamna cha operation ,hizo zuga tu na maigizo kupata political mileage na wala tatizo haliishi .
Watu raia wema wafanyiwe background checks , waruhusiwe kumiliki bastola na bunduki kwa ajili ya self defense ,pia ulinzi shirikishi ,hii programu iwezeswe ipasavyo ,mfano patrol za sungusungu usiku ,
kwani raia hawaruhusiwi kumiliki silaha?
 
Vibali vitolewe watu wamiliki kitu ya bunduki , hii ya kutegemea majambazi waliovaa nguo za polisi wawe walinzi wa amani mtaani ,wakati wao wenyewe ni vibaka na majambazi kama hao panya road ni uzoba
Kila mtu akiwa na mtutu ,heshima itakuwepo .
Huu upumbavu utaisha , ukivamia kwangu nakumwaga ubongo tu
Gharama zikoje?
Je kila mtu anamudu kumiliki bastola?
 
Wakishikwa watu wa haki za binadamu watakuja juu..

Hao ni kupiga chuma ,weka kweny kiroba maneno coco beach ..

Hao jamaa wamelanduka yaani bangi kabisa full roho mbaya.
Wala hakuna haja ya kupeleka coco beach.unawaacha hapo unawapigia police waje kuchukua mzigo wao
 
H

Hivi hamnaga number ile ya Police? Mtaa mzima unavamiwa haichukui dakika. Kwanini msiwapigie Simu Police?
Wanafika masaa mawipi baadae.au asubuhi kabisa
Haijawahi tokea ambush Moja police wakaja on time..
Kigogo,tandale,kimara,kinyerezi, na kwingineko.wakati wa tukio police hawatokei.
Labda wafanye utafiti waambiwe Kuna vijana flani wanahisiwa wahalifu wanaplan tukio ndo wanawafuatilia.
 
Hiyo ndo Daslaamu wazee wa urojo rojo hata Mwanaume Magufuli alihofia usalama wake daslamu akahamia zake Chato na Dodoma
 
Naona wamerudi Kwa Kasi Tena, wanapora, wanajeruhi, ni huzuni.

Jamaa yetu juzi Goba Kwa Madawa wamevamiwa mtaa mzima wamepigwa vibaya. Wameporwa pesa simu na vingine vya thamani. Wamefanyiwa ukatili, hawajali mjamzito Wala mzee wanapiga vibaya. Hili kundi walikua kama 20-30 Kwa idadi halafu mijibaba.

Kesho yake tena yani jana kundi jingine la wadogo wadogo wamevamia mtaa huko eneo linaitwa Kwa Mzungu, wamejeruhi, wamepora.

Wana silaha za jadi, marungu, mapanga, shoka, visu nk.

Wanavamia usiku wa manane, wanavunja milango watu wanaamriwa wavue nguo wanabaki Uchi huku wanapigwa vibaya.

Now haijulikani mtaa gani unafuatia
Ujanja nunua chainsaw ukisikia wamekuja 20 liwashe wafate uone kama atabaki mtu. Bartoli lawama vibali mingi😅😅
 
Back
Top Bottom