Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 35,830
- 47,151
Huko Goba hawana ulinzi shirikishi ?.....Jamaa yetu juzi Goba Kwa Madawa wamevamiwa mtaa mzima wamepigwa vibaya. Wameporwa pesa simu na vingine vya thamani. Wamefanyiwa ukatili, hawajali mjamzito Wala mzee wanapiga vibaya. Hili kundi walikua kama 20-30 Kwa idadi halafu mijibaba.
Ni vyema migambo wa jiji watumike na serikali za mitaa kudhibiti hivi vikundi.