Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,144
- 48,371
Tarehe 29/10/2025 ilikuwa kama vile hakuna vyombo vya habari Tanzania.
Matukio yote yaliyotokea na siku zilizofuata hayakuonekana kwenye vyombo vyetu vya habari na wala mjadala haukufanyika.
Lakini Jana mpaka Leo vyombo vyetu vya habari vimetumia muda mwingi kutuhabarisha kuwa hakuna maandamano.
Hivi vyombo vyetu vya habari havikuona chochote kilichotokea kuanzia tarehe 29Oktoba na kuendelea?
Matukio yote yaliyotokea na siku zilizofuata hayakuonekana kwenye vyombo vyetu vya habari na wala mjadala haukufanyika.
Lakini Jana mpaka Leo vyombo vyetu vya habari vimetumia muda mwingi kutuhabarisha kuwa hakuna maandamano.
Hivi vyombo vyetu vya habari havikuona chochote kilichotokea kuanzia tarehe 29Oktoba na kuendelea?