tunapoandika habari za kihalifu nini objective ya hizo habari, mbona CCN hawaandiki habari za ubakaji marekani, mbona aljazeera waandiki habari za ukiukwaji wa haki za watu nchini saud arabia, mbona wanapokata watu vichwa na mikono hawatangazi aljazeera, sie hata watu wakinyimana unyumba kesho magazeti yote yameandika, kwanini msiongelee uzalishaji wa mbolea minjingu, kwanini msiandike habari za shabiby kununua buses mpya, kwanini tusiandike habari za bhakresa kununua fleet za scania toleo jipya, ila tukisikia bhakresa kamtishia mtu bastola magazeti yote yataandika. Hebu tujitahidi kuwa positive na nchi yetu.
Sasa hivi kuna mkakati wa trade harmonization katika bara la Africa na kuweka common tariff hamna hata mmoja anayezungumzia, benki tatu za serikali zimeungana hamna hata gazeti moja limeandika. Kuna hili Gazeti moja lenyewe nikuandika habari za mauaji tu utafikiri lina milikiwa na shetani