Watu wamekufa kwa korona wanasingizia uchaguzi eeh? Au unamaanisha nini?Hivo vifo vina uhusiano gani na uchaguzi?
CCM wakiuwawa mbona hupigi kelele wewe?suala ni kutoa mapovu au suala ni watuhumiwa wote wafikishwe mbele ya sheria, haijalishi ni nani, awe polisi, ffu, au nani, wote wauaji
Wewe kutwa nzima lumumba,habari unasikiliza wapi?Huo ni uwongo wa CHADEMA mwisho wao ni October
Wangefanyaje mkuu?Aljazeera wamereport ila ITV wakakosa uzalendo wakakata fasta na kuweka tangazo
Subiri utapajua tu vzur mkuuThe Hague
ndio wapi wewe Mtu....?!!!
Ni Uwanja unewabomokea?Hivo vifo vina uhusiano gani na uchaguzi?
huyo ni mlevi..usibishane na vibaraka wa ccm walevi..atashaa na roho yake umasikin si wake na familia yake
Police walichokozwa, hawakuchokozeka. Full stop.Unafiki una mwisho.ccm hamko tayari kwa uchaguzi huru na hamwezi bila violence sasa majirani wamesikia mnalaumu nini?
Si chombo cha habari tu bali hata hayo maji unayokunywa huko kikijini kwenu ni kwa msaada wa watu wao! Khanithi mkubwa weeBalozi wa Marekani ndicho chombo cha habari ati?
Hayo ni maneno ya Sarungi superimposed kwa jina la balozi. Try another trick.
Wamarekani ni washenzi tu, hawa ndio walisema lile DAM kule Ethiopia lilipuliwe na Wamisri, watu kama hawa ni wakupuuzwa kabisa
Hata wewe uko kimya, unangoja nani awe mstari wa mbele wakati wewe umejificha JFLakini kwanini wa zanzibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza Aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zanzibar tu na wazanzibari ndo wanaochukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Wakazuie mauaji ya watu weusi, mambo yetuu watuachie wenyeweWao wana hofu ya uchaguzi wao kuingiliwa na Urusi na Iran....covid, nk habari za wapemba kuzichapa na polisi kwao sio habari wakati huu..