Zanzibar 2020 Vyombo vya Habari kimataifa vimeanza kuripoti mauaji huko Pemba

Airmanula

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
3,741
5,226
Hili si jambo la kufanyia mzaha kabisa

Ni muda sio mrefu tumepata taarifa juu ya mauaji ya watu watatu huko Pemba na Kikosi cha Polisi.

Na hivi sasa vyombo vya habari vya kimataifa vimeanza kuripoti juu ya tukio hili ambalo kwa vyovyote litatia doa nchi na kupelekea waangalizi wakubwa wa kimataifa kujiridhisha kua kuna uminywaji wa Demokrasia na haki za binadamu, watu wanataka madaraka kwa nguvu japo watu wameamua kupiga kura ya mabadiliko lakini inavyoelekea chama tawala hawawezi kukubali hilo.

Hii itoshe tu kusema kua habari zimeanza kusambaa dunia nzima.
 
1603790985093.png
 
Lakini kwanini wa zanzibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza Aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zanzibar tu na wazanzibari ndo wanaochukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
 
Lakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Wauza sura bara tuache na mijichogo yetu
 
Lakini kwanini wa zazibar wako tayari kwa lolote kuliko watu wa bara? Ukisikiliza aljazeera na CNN unaweza akadhani uchaguzi uko zazibar tu na wazazibari ndo wanao chukia ukandamizaji wa CCM peke yao, kumbe Bara ni mara mbili yake ila tuko kimya sanaa
Ndio salama yetu
Kwasababu mbili kuu
1)Sisi kama Waafrika,hatujui tunachokitafuta hasa....

2)Hakuna Mtawala alieandaliwa kuwa Mzalendo wa kweli katika Nchi yake

Salama kwetu
Ni kukaa kimya na kuienzi amani tuliyokuwa nayo....hata kama Haki haipo
 
Back
Top Bottom