Kama hajamkamata yeye kwanini katoa amri aachiwe?
Amiri Jeshi Mkuu hatakiwi kuagiza kilakesi ya kila Tom, Dick and Harry.Sasa kama polisi wamemkamata na Rais ni Amiri Jeshi mkuu utatofautishaje na Rais?
Hataki kukosolewa na kawaonya wakosoaji wote na wamiliki wa vyombo, watch it.Wakuu nimeshangazwa na Vyombo vya Habari vya Magharibi kwani kila media imeandika
"President Magufuli arrested Tanzanian Rapper over insulting him"
Hivi vyombo vinapenda mabaya tuu na Vingi bado vinaandika habari ya kukamatwa kwa Ney Wa Mitego japo ameachiwa
Na kwa mtindo unaoendelea sasa ndo watazidi kuelekeza kamera zao TZ kila kukicha mana mazingaombwa yamezidi
Wakuu nimeshangazwa na Vyombo vya Habari vya Magharibi kwani kila media imeandika
"President Magufuli arrested Tanzanian Rapper over insulting him"
Hivi vyombo vinapenda mabaya tuu na Vingi bado vinaandika habari ya kukamatwa kwa Ney Wa Mitego japo ameachiwa