Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 44,089
- 104,544
Pole sana kwa kupigwa, vyeti vyangu nilifanya kwa kumtapeli mwanasheria na hadi leo hajui nilipo.Cheti kimoja ni 20,000/-
Pole sana kwa kupigwa, vyeti vyangu nilifanya kwa kumtapeli mwanasheria na hadi leo hajui nilipo.Cheti kimoja ni 20,000/-
Mimi nikitaka kucetify vyeti nafanyiwa bure kwa sababu Nina Mawakili kibao nawajuaPole sana kwa kupigwa, vyeti vyangu nilifanya kwa kumtapeli mwanasheria na hadi leo hajui nilipo.
Wakili mbona ni Kama una force kingi.. 20k kwa cheti kimoja huoni Kama ni upigaji? Hapo unataka na doctor kukucheki unaumwa Nini alipwe Bei gani Kama wewe muhuri tuu ni 20kKasome sheria inaitwa Notary public and commissioners for Oath Act,
Wakili mbona ni Kama una force kingi.. 20k kwa cheti kimoja huoni Kama ni upigaji? Hapo unataka na doctor kukucheki unaumwa Nini alipwe Bei gani Kama wewe muhuri tuu ni 20k
- gharama za kuthibitisha nyaraka Mawakili hawajipangii wamepangiwa na sheria, kwamba kwa document isiyozidi maneno 100 Ni sh 20,000/- Wakili anayefanya hivyo anatenda kosa.Unajua mkuu hapa watu waliocertify hivyo vyeti kila mtu kaenda kivyake na kapigwa kivyake.
Hapo dar mawakili ni wengi, we fanya research yako ndgo tu kwa kuwatembelea maofisini mwao humo, mahakamani n.k kuuliza ni bure tu. Mkiridhiana unatoa hii kuuliza humu hutapata bei halisi ukizingatia hii ni huduma ambayo kila mtu anajipangia bei tu.
Vyeti 12,000 vyote hivyo Ni vya nini mkuu?Mwezi March 2022 niliverify vyeti vyangu vyote, vilikuwa 12000 kwa gharama ya elfu tano tu, likuwa mahakama ya mwanzo buguruni, ukiihitaji namba ya huyo mtu wa mahakama nitakupatia inbox, gharama Ni elfu tano kwa vyote
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Labla pamoja na majiraniVyeti 12,000 vyote hivyo Ni vya nini mkuu?
uyu ndio la profeser sasaMwezi March 2022 niliverify vyeti vyangu vyote, vilikuwa 12000 kwa gharama ya elfu tano tu, likuwa mahakama ya mwanzo buguruni, ukiihitaji namba ya huyo mtu wa mahakama nitakupatia inbox, gharama Ni elfu tano kwa vyote
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
vyet 12000Ha ha ha sijui nilikuwa nawahi wapi? Nilimaanisha vyeti kumi na mbiliuyu ndio la profeser sasavyet 12000
Mkuu nilikosea hapo, nilitaka kuandika vveti 12, nishaedit tayariVyeti 12,000 vyote hivyo Ni vya nini mkuu?
Sawa mkuu.Mkuu nilikosea hapo, nilitaka kuandika vveti 12, nishaedit tayari
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Msitishe watuUtaratibu ndio huo Ni 20,000/- kwa copy 1, na pia mahakama wanatakiwa wafanye 20,000 kwa copy moja.
Kwa kuwa ulikuwa hujui sheria inavyosema.Hii kitu hua ni buku dasi tu (5000/=) pesa halali kwa matumizi,hii 20k ya mdau kwa kila copy ndio naisikia leo
Nani kakutisha?Msitishe watu
Mkuu mimi naongea kutokana na experience...Nime certify vyeti vyangu vyote kwa total amount ya 5k hapo mahakama ya mwanzo (Nyamagana) MwanzaKwa kuwa ulikuwa hujui sheria inavyosema.