Project Engineer
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,578
- 6,087
Mimi sio Wakili, Mimi Ni accountantKumbe wewe ni wakili usiye na ajira ndio maana unapigia chapuo bei ghali
Mimi sio Wakili, Mimi Ni accountantKumbe wewe ni wakili usiye na ajira ndio maana unapigia chapuo bei ghali
Ku Verify nenda hapo TCU fasterHabari ya muda huu wakuu.
Samahani mimi nina vyeti kadhaa ikiwemo cha la7, form4, form6, JKT, Cha bachelor pamoja na full result transcript yake, kwa sasa sina pesa ya kutosha kuverfy vyote kwa pamoja, hivi kwa hapo ni vyeti gani muhimu hasa kuverify kwa ajili ya kuombea kazi ajirapotal, au hadi vile kama cha JKT ni muhimu..?
Sambamba na hilo naomba connection ya mwanasheria yeyote anyeweza kunifanyia kwa elf 5, nipo Dar Mabibo.
Mkuu,utaratibu wako huu wa 20,000 per copy ni kwa mujibu wa katiba?Utaratibu ndio huo Ni 20,000/- kwa copy 1, na pia mahakama wanatakiwa wafanye 20,000 kwa copy moja.
Mawakili ndiyo wanavyosema hivyo au ww ulidhani Ni bei gani?Mkuu,utaratibu wako huu wa 20,000 per copy ni kwa mujibu wa katiba?
Mi nina enda kwa balozi wangu tu anagonga Muhuri wake wa Mjumbe wa shina.Mawakili ndiyo wanavyosema hivyo au ww ulidhani Ni bei gani?
-katiba haiwezi kutaja gharama kuthibitisha nyaraka ww Ni kiazi hujui hata katibahuo utaratibu umepitishwa na serikali ipi au weka quote ya kifungu kwenye katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Embu acha tamaa za kipumbavu, hakuna mtu atakupa elfu 20 ku certify cheti kimoja, kwaio kama ana vitano, ni laki moja?
Elfu 3,5, na ikizid 10, kwa vyeti vyote, kila mahal ndio iko hivyo kama hutaki unaacha, mawakili wenye muhuri wako kibao sana hata mahakama zipo kibao, wewe endelea kusubiria kwa uchumi huu wa vita vya Ukraine mtu akupe elfu 20 umcertify cheti chake kimoja tu.
Achen mbwembwe Kuna watu kibao wameamliza law school na bado wapo mtaani ukimpa hyo book tano ana certify vyote....achen ujinga wa kuwafata mawakili wakubwa wafanye hyo kaziHakuna Wakili ata- Certify vyeti kwa 5000/- nakala moja Ni 20,000
-wenzio wanasimamia Sheria ya viapo ambayo inasema ni 20000/- kwa kopi,Achen mbwembwe Kuna watu kibao wameamliza law school na bado wapo mtaani ukimpa hyo book tano ana certify vyote....achen ujinga wa kuwafata mawakili wakubwa wafanye hyo kazi
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Usipate shida. Nenda mahakama yoyote iliyokaribu nawe, watapiga muhuri kwa 5000 hata kama vyeti vipo 10 we nenda tu usiogope, jiaminiHabari ya muda huu wakuu.
Samahani mimi nina vyeti kadhaa ikiwemo cha la7, form4, form6, JKT, Cha bachelor pamoja na full result transcript yake, kwa sasa sina pesa ya kutosha kuverfy vyote kwa pamoja, hivi kwa hapo ni vyeti gani muhimu hasa kuverify kwa ajili ya kuombea kazi ajirapotal, au hadi vile kama cha JKT ni muhimu..?
Sambamba na hilo naomba connection ya mwanasheria yeyote anyeweza kunifanyia kwa elf 5, nipo Dar Mabibo.
chukua huu ushauri, fika mahakama iliyo karibu na wewe...Dogo acha uzembe... Hyo hyo elf 5... Una verify vyote.. Nenda mahakamani utasaidiwa fasta
Hapo kacertify vyote hata kama vingine hutovitumia, Ila ukienda na buku kumi tena nenda Ile mida ya saa 8 yaan wakaribia kuondoka watakusumbua Ila lazima kucertify Ila kwa buku 5 utasumbuliwa sana Mkuu labda ulie sana(So kopa hata buku 5 nyingine hapo iwe 10 itakuwa poA)
Labda 20,000 ya Zimbabwe.-wenzio wanasimamia Sheria ya viapo ambayo inasema ni 20000/- kwa kopi,
-sio mbwembwe Ni sheria ndiyo imesema 20,000 kwa kopi
- Ujinga Ni wako usiyejua sheria,
- ww Ni Mr njaa kweli
Yaaaap, toa copy zako za mia mia then tima kwa Advocate or Court mambo yanakuwa yenteSi wanapiga muhuri kopi tu
Mahakaman Wana njaa mm nliwah verify 2000 vitatuCheti kimoja ni 20,000/-
Hawaoni uchungu kwa sababu Mahakama hawalipi Kodi Kama wenzao Mawakili wanalipa Kodi TRA, wanalipia leseni ya uwakili, walipie seminar, business licence nkMahakaman Wana njaa mm nliwah verify 2000 vitatu
Hujui kitu Mimi nimekaa na Mawakili ndiyo gharama za kisheria hizo kwa document yoyote ambayo haizidi maneno 100 huwa Ni 20,000Labda 20,000 ya Zimbabwe.
😄😄😄 Maneno meeeeeeeeeeeeeeeengi, hongera sana kwa kukaa nao.Hujui kitu Mimi nimekaa na Mawakili ndiyo gharama za kisheria hizo kwa document yoyote ambayo haizidi maneno 100 huwa Ni 20,000