Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,322
- 6,968
achana na hawa mawakili watakupiga, Nenda mahakama yoyote ya Mwanzo asubuhi sana (kabla hawajaanza kusikiliza mashauri) toa nakala zako zote unazohitaji kucertify bila kujali ni ngapi kisha wape na elfu kumi. Watakusaidia kucertify bila bugudha. Kwa shida yoyote ya kucertify nenda Mahakamani kule watakusaidia kwa bei nafuu