Hao wanaitana kwa kutainiana,kama mtu akikuta anamwita mwenzake wa umri sawa,mwanangu au babu au mkuu au mshikaji nk.Huku mtaani naona vijana wanaitana sheikh, mufti, maalimu, na wengine wainaitana akii, je haya ni majina ya waislamu au ni vyeo? Utaratibu wa vyeu ukoje hiko?
Kwenye uisilamu hakuna cheoHuku mtaani naona vijana wanaitana sheikh, mufti, maalimu, na wengine wainaitana akii, je haya ni majina ya waislamu au ni vyeo? Utaratibu wa vyeu ukoje hiko?
Uongo, haitegemei na elimu. Labda maalim ndio mwalimu.Inategemea na kiwango cha ilmu. Na wapo walioenda Makka, wana jina lao.
Umenielewa Usthadhi?
Sio akii ni akhii na maana ya akhii ni nduguSheikh ni yeyote Tu hata wewe unaweza kuwa Shiekh.
Imam ni Yule Kiongozi msikitini.
Mufti yupo mmoja tu Tanzania.
Watu wakiitana mitaani sio waislam.
Inetegemea na umaarufu wako Kwa hao watu.
Si Kareem Benzema tunamuita sheikh?
Nzuri , ahsante1. Akh (أَخ) ni ndugu kwa Kiswahili, hivyo kila muislamu ni Akh, akiwa wa kike ukht (أُخْت) Dada. Ilitumika zaidi kwa wafuasi wa Muslim Brotherhood, wengine wanaiga.
2. Sheikh (شَيْخ) literally means Mzee. [ii] Mtu aliewahi kuwa au aliepo kwenye ndoa. Akiwa wa kike Shaikha (شَيْخَة). Si vyeo vya kidini.
a watakua wanalingana.
jazakallah.1. Akh (أَخ) ni ndugu kwa Kiswahili, hivyo kila muislamu ni Akh, akiwa wa kike ukht (أُخْت) Dada. Ilitumika zaidi kwa wafuasi wa Muslim Brotherhood, wengine wanaiga.
2. Sheikh (شَيْخ) literally means Mzee. [ii] Mtu aliewahi kuwa au aliepo kwenye ndoa. Akiwa wa kike Shaikha (شَيْخَة). Si vyeo vya kidini.
3. Ush, wakiwa sawa anatangulizwa mwenye umri mkubwa... na vigezo vyengine vinafuata ikiwa watakua wanalingana.