Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,482
- 8,286
Kama zitto tu kawashinda anawapukutisha kila anakopita hayo maji marefu ni maji gani labda maji ya chai ya basi ya kure arusha.
Endeleeni kudanganywa na kifaranga wenu huyo fahamu zitakapo warejea ndipo mtatambua kuwa mulikuwa mnadanganywa.