mkuu ukubali ukatae hii mada inaligawa taifaHaya ndo madhara ya kunywa viroba. Ndo maana hata hujui mada inahusu nini. TANU waliungana na ASP wakaunda chama kimoja kiitwacho CCM. Baada ya kuzaliwa CCM, vyama vya TANU na ASP automatically vilikufa. Sasa niambie kama muungano wa TANU na ASP unafanana na huu muungano wenu wa
UKAWA