zam's son
Member
- Jun 5, 2012
- 72
- 37
Chama chochote dunian..au kitu chochote dunian ambacho kinahitaji watu kama mtaji wake bs ni lazima kiwe locolized.kwa maana kua lazma kitakua km ni chama cha siasa bas lazma kuna maali kitakua na wafuasi wengi..na hii huitwa ngombe ya chana flan.ht timu za mpira wa miguu ni hvy hvy.watu hawawez kua evenly distributed km unavyotaka mtoa mada.hata ccm pia ina mikoa au kanda ambazo ni ngome yake..