Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,389
- 1,258
WanaJf salaam!
Najiuliza tu, kwamba shauku ya Rais Samia ni kuendelea kuongoza nchi hii kupitia chama chake cha CCM, tena anapenda chama kishinde uchaguzi katika mitaa na vijiji 2024. Kisha ashinde nafasi za Ubunge na Urais.
Wakati huo upinzani umeshamuona kama kiongozi mwenye msimamo wa kadri na wanampamba kwa sifa zote ili akishalewa sifa zao wapate nafasi ya kupitia na kushika dola.
Swali kuu ni;
(a) Je, sifa za Upinzani kwa Rais zina agenda ya wazi kwa ustawi wa CCM?
(b) ACT, NCCR, CUF, CDM nk, wako tayari kutomsumbua Rais katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hadi Uchaguzi Mkuu kwa kuwa CCM ina maslahi mapana na chaguzi hizo?
Kwa CCM furaha yetu ni kuona ongezeko la Chawa toka nje ya chama.
Najiuliza tu, kwamba shauku ya Rais Samia ni kuendelea kuongoza nchi hii kupitia chama chake cha CCM, tena anapenda chama kishinde uchaguzi katika mitaa na vijiji 2024. Kisha ashinde nafasi za Ubunge na Urais.
Wakati huo upinzani umeshamuona kama kiongozi mwenye msimamo wa kadri na wanampamba kwa sifa zote ili akishalewa sifa zao wapate nafasi ya kupitia na kushika dola.
Swali kuu ni;
(a) Je, sifa za Upinzani kwa Rais zina agenda ya wazi kwa ustawi wa CCM?
(b) ACT, NCCR, CUF, CDM nk, wako tayari kutomsumbua Rais katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hadi Uchaguzi Mkuu kwa kuwa CCM ina maslahi mapana na chaguzi hizo?
Kwa CCM furaha yetu ni kuona ongezeko la Chawa toka nje ya chama.