Masi Lambo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 532
- 360
- Thread starter
- #81
Tafuta sababu kwa nini sie ni masikini na ina maana gani tuko uchumi wa kati na kwa nini? Wakati huo huo viongozi upinzani hawataki sie tuwe kima cha kati ila cha chini ili tupate mikopo rahisi, nani mwenye akili acha elimu?Baada ya Miaka 60 nchi ndo imeingia uchumi wa chini Kati je ccm Ina wasomi wakuongoza nchi?
Nauliza tu!