MTWA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 1,166
- 166
Ndugu great Thinkers,
Sijui kama nakosea!
Nimelazimika kuamini kuwa CCM haipo peke yake katika kuhakikisha kuwa inashinda. Baada ya kuona kuwa imeboronga sehemu kadhaa, nimetazama na kuona kuwa kuna uwezekano mkubwa kukawa na ufadhuili wa CCM katika uundaji wa vyama baadhi ya vile vinavyoitwa vya upinzani.
Kama si vyama basi kuna watu wengi tu katika vyama hivyo ambao ni vibaraka wa chama hiki tawala. Na hililinathibitika pale ambapo baadhi ya vyama kama TLP (Mrema) Kwa uwazi tu anatetea CCM na JK. Kuna vyama ambavyo vinajua kabisa kuwa havina chake kuelekea ikulu lakiniki vinapiga kampeni za urais tene siku chache kabla ya uchaguzi! na ni vichochoroni. Hii inaonesha kuwa wanataka kupunguza tu upinzani ili waliochoka ccm waende huko wasimpe yule mwenye nguvu.
Sasa hili nalo picha yake sioni, Ndugu yangu niliyemwamini sana, kijana, anadai vitu visivyowezekana (Mabilioni) kwa vyama vingine vya upinzani? Sijamwelewa.
Kwani wao wamemharibia Biashara na kumsababishia hasara? au anavuruga tu ili chama tawala kishide?
Nadhani kama hana nia mbaya na huu uchaguzi angetolea maelezo tu bila ya mambo yaliyo out of topic (kampeni).
Kwa maana hiyo nimefikia mtazamo na kuona kuwa vyama hivi ni matawi ya chama tawala Isipokuwa:
CHADEMA NA CUF tu!
hawa japo wana dira fulani ya kutaka kuongoza nchi, lakini wengine wasanii watupu na wametumwa na CCM.
Sijui kama nakosea!
Nimelazimika kuamini kuwa CCM haipo peke yake katika kuhakikisha kuwa inashinda. Baada ya kuona kuwa imeboronga sehemu kadhaa, nimetazama na kuona kuwa kuna uwezekano mkubwa kukawa na ufadhuili wa CCM katika uundaji wa vyama baadhi ya vile vinavyoitwa vya upinzani.
Kama si vyama basi kuna watu wengi tu katika vyama hivyo ambao ni vibaraka wa chama hiki tawala. Na hililinathibitika pale ambapo baadhi ya vyama kama TLP (Mrema) Kwa uwazi tu anatetea CCM na JK. Kuna vyama ambavyo vinajua kabisa kuwa havina chake kuelekea ikulu lakiniki vinapiga kampeni za urais tene siku chache kabla ya uchaguzi! na ni vichochoroni. Hii inaonesha kuwa wanataka kupunguza tu upinzani ili waliochoka ccm waende huko wasimpe yule mwenye nguvu.
Sasa hili nalo picha yake sioni, Ndugu yangu niliyemwamini sana, kijana, anadai vitu visivyowezekana (Mabilioni) kwa vyama vingine vya upinzani? Sijamwelewa.
Kwani wao wamemharibia Biashara na kumsababishia hasara? au anavuruga tu ili chama tawala kishide?
Nadhani kama hana nia mbaya na huu uchaguzi angetolea maelezo tu bila ya mambo yaliyo out of topic (kampeni).
Kwa maana hiyo nimefikia mtazamo na kuona kuwa vyama hivi ni matawi ya chama tawala Isipokuwa:
CHADEMA NA CUF tu!
hawa japo wana dira fulani ya kutaka kuongoza nchi, lakini wengine wasanii watupu na wametumwa na CCM.