MtuSomeone
Member
- Dec 7, 2008
- 57
- 3
Wana FM!!
Naomba msaada kuhusu aina zifaazo kwa wanaume kula ili kuongeza nguvu na stamina ya kufanya tendo la ndoa!
Hii nimeiona ni mada muhimu kujadiliwa kwa kuwa sasa hivi takwimu zinaonyesha kwamba ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu wanawake wankosa huduma ya tendo la ndoa kwa ufasaha kiasi cha kutosheleza!! Nafahamu baadhi ya mambo kama ukosefu wa mazoezi ya kutosha, ulevi, na mafuta mengi mwilini pia yanachangia!! Hoja yangu hapa nataka kuelimishwa ni vyakula gani iwe vya kupikwa au vyakula asilia vinavyoweza kumsaidia mwanaume? Vile vya muda mrefu (sex boosters) na vile vya muda mfupi kabla ya kufanya tendo (stimulators)
Msaada wana JF
Naomba msaada kuhusu aina zifaazo kwa wanaume kula ili kuongeza nguvu na stamina ya kufanya tendo la ndoa!
Hii nimeiona ni mada muhimu kujadiliwa kwa kuwa sasa hivi takwimu zinaonyesha kwamba ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu wanawake wankosa huduma ya tendo la ndoa kwa ufasaha kiasi cha kutosheleza!! Nafahamu baadhi ya mambo kama ukosefu wa mazoezi ya kutosha, ulevi, na mafuta mengi mwilini pia yanachangia!! Hoja yangu hapa nataka kuelimishwa ni vyakula gani iwe vya kupikwa au vyakula asilia vinavyoweza kumsaidia mwanaume? Vile vya muda mrefu (sex boosters) na vile vya muda mfupi kabla ya kufanya tendo (stimulators)
Msaada wana JF