Vyakula vya kusaidia wanaume

Vyakula vya kusaidia wanaume

Mbona hamuulizi vyakula vya kuongeza nguvu za kulima na kufanyakazi bila kuchoka? Uzinzi tuuuu. Na wale mnaonunua dada poa. Mnaona kama mnaibiwa. Sekunde tu kwishnei! !!
 
Naungana na wanaosema mpangilio wa vyakula hasa seashels pamoja na mazoezi
ila soda na jamii yote ya vinywaji vyenye alcohol ni sumu moja kali sana kwa nguvu za kiume
soda huathiri taratibu sana na muda mrefu
 
Mtu umekaa miezi!!!! bado unataka ugande hapo 40mins !! Wapi. Kila kitu mazoezi. Tafuta mkeo, pa then kila Mara umo, utaona performance inabadilika. Sio kutegemea kwa jirani.
 
Ha haa haaaaaa....

Haya leo nafanywa jikoni tena kwenye kigoda
Duuuh sasa inabidi nikujie PM ili tupeane maraha ya uhondo maana mwenzio hapa suruali imekuwa ndogo yaani mzee kapamba moto sababu ya uchokozi wako yaani hadi gundi inatiririka,sijui we mwenzangu mvua haijaanza kunyesha msituni?
 
Duuuh sasa inabidi nikujie PM ili tupeane maraha ya uhondo maana mwenzio hapa suruali imekuwa ndogo yaani mzee kapamba moto sababu ya uchokozi wako yaani hadi gundi inatiririka,sijui we mwenzangu mvua haijaanza kunyesha msituni?
Khaa! Sasa we huoni tunapashana na Ngabu? Hebu jaribu pengine
 
vyakula vyenye wingi wa Zinc,

1. Pweza na supu yake.

2. Samaki na supu yake

3. Chaza na koa wabichi

Vyakula vya jamii ya;

1.Karanga mbichi

2.Korosho

Matunda;

1. Tikiti maji

...vile vile vionjo vingine kama kitunguu swaumu na pilipili vinasaidia kwa kiwango kikubwa.

NB; la msingi ni kula kwa kiasi, mazoezi ya mara kwa mara na kupunguza sumu ya pombe katika damu, i.e kupunguza 'kinywaji!'
Umesahau pilipili hapo
 
Back
Top Bottom