Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,800
- 11,334
Hayo si mambo yenye kufaa kwa afya na vema ukabadilika.My favourite food ni nyama choma nusu kilo yenye maftafta na ugali na sukuma wiki plus kachumbari. Nikitoka hapo niletee juice inayoitwa castle lite ya briid kuanzia 16 had 27. Mhudumu awe anavutia
Lakini, ukiona hayo ndiyo mapendekezo yako una Uhuru wa kuitekeza afya yako vile upendavyo.
Maamuzi yaheshimiwe!