Gawia watu vitabu vyote ulivyovijaza kwenye shelfu/meza/kabati la vitabu

Samson Ernest

JF-Expert Member
Aug 28, 2014
404
651
Shelfu imejaa vitabu vizuri ikiwemo na biblia, vimepangwa katika utaratibu mzuri.

Meza ya ofisi imejaa vitabu vikubwa vikubwa, vimepangwa vizuri na vinapendeza.

Hatua kubwa sana kwako, mtu kukumbuka kuwa na kabati/shelfu zuri la vitabu na kuvijaza ni hatua kubwa sana.

Mtu kununua vitabu mbalimbali na kuvipanga mezani kwake, hatua kubwa sana.

Swali la msingi, hivyo vitabu kwenye kabati/shelfu zuri umevisoma? Kama hujavisoma umemwekea nani? Au umewaandalia watoto wako urithi?

Mtu anaweza kupata sifa nyingi sana nzuri, akapata hongera nyingi sana kwa marafiki zake.

Hongera hizi ni za kuona vile amejaza vitabu vizuri, wanaona anavisoma na ana maarifa mengi.

Hili ninalolisema hapa sio wote wanalo, ila wapo tunanunua vitabu ila hatuvisomi, tunapewa zawadi mbalimbali za vitabu ila hatuvisomi.

Tuna vitambulisho vizuri vya kutuwezesha kuingia library, ila hatuendi kusoma vitabu.

Tabia hii imeingia hadi kwenye neno la Mungu, tuna matoleo mengi ya biblia ila hatuyasomi hadi tusikie tumepangwa kuhubiri/kufundisha neno la Mungu.

Hatuna muda wa kusoma biblia, ila tunazo biblia nzuri na kuzipanga mezani na kwenye makabati yetu ya vitabu.

Tuna muda mwingi wa kutembea kwenye mitandao mbalimbali na wengine kuchati tu, na wengine kuongea na simu masaa mengi pasipo kiasi.

Ikiwa umepiga hatua hii kubwa ya kununua vitabu mbalimbali ila hujawa na muda wa kuvisoma, Bora uvigawe kama huna muda wa kuvisoma.

Ikiwa umerudika vitabu kwenye nyumba/ofisi yako pasipo kuvisoma, uza hilo kabati na vitabu vyake vyote.

Ukiona ngumu gawia watu hivyo vitabu, ukiona na wao watakuwa na utaratibu ule ule wa kutokusoma kama wewe. Nenda library ya chuo cha dini yako, vigawe vyote.

Hiyo ndio njia sahihi, kuliko kukaa na vitabu vingi alafu huna muda wa kuvisoma, kuliko kukaa na biblia yako alafu huna muda nayo.

Nakueleza haya kukuonyesha unachofanya sio sahihi, unapaswa kujirekebisha haraka sana, kama umejisikia vibaya baada ya kusoma ujumbe huu, hakikisha unaweka utaratibu mzuri wa kusoma neno la Mungu na vitabu vingine.
 
Ndugu zetu wa kibongo hawa wana nogwa sana nlkua na utaratibu wa kupunguza ma vtu ndan ambayo siyatumii mtu unakuta ua Tv mbil toleo la nyuma na iz smart labda toleo lenyew n yale m samsung yenye ktako kikubwa ukimpa ndugu yako bdae wananza mneno tena nenden kwa Tupa tupa uez kosa cha kuondoka nacho pale mara jmaa anajifanya anazo uyo
 
Ndugu zetu wa kibongo hawa wana nogwa sana nlkua na utaratibu wa kupunguza ma vtu ndan ambayo siyatumii mtu unakuta ua Tv mbil toleo la nyuma na iz smart labda toleo lenyew n yale m samsung yenye ktako kikubwa ukimpa ndugu yako bdae wananza mneno tena nenden kwa Tupa tupa uez kosa cha kuondoka nacho pale mara jmaa anajifanya anazo uyo
Basi hapo suluhisho usiwe unafatilia feedback baada ya kugawa ivyo vitu. Wewe ukishatoa na muhusika kapokea basi potezea tu usifuatilie mengine
 
Ndugu zetu wa kibongo hawa wana nogwa sana nlkua na utaratibu wa kupunguza ma vtu ndan ambayo siyatumii mtu unakuta ua Tv mbil toleo la nyuma na iz smart labda toleo lenyew n yale m samsung yenye ktako kikubwa ukimpa ndugu yako bdae wananza mneno tena nenden kwa Tupa tupa uez kosa cha kuondoka nacho pale mara jmaa anajifanya anazo uyo
Ungezikubali tu hizo lawama zao coz wewe ni Mbeba Lawama na ukaendelea tu kuwasaidia.
 
Ndugu zetu wa kibongo hawa wana nogwa sana nlkua na utaratibu wa kupunguza ma vtu ndan ambayo siyatumii mtu unakuta ua Tv mbil toleo la nyuma na iz smart labda toleo lenyew n yale m samsung yenye ktako kikubwa ukimpa ndugu yako bdae wananza mneno tena nenden kwa Tupa tupa uez kosa cha kuondoka nacho pale mara jmaa anajifanya anazo uyo
Kubali tu KUBEBA lawama, binadamu ndivyo tulivyo.
 
Shelfu imejaa vitabu vizuri ikiwemo na biblia, vimepangwa katika utaratibu mzuri.

Meza ya ofisi imejaa vitabu vikubwa vikubwa, vimepangwa vizuri na vinapendeza.

Hatua kubwa sana kwako, mtu kukumbuka kuwa na kabati/shelfu zuri la vitabu na kuvijaza ni hatua kubwa sana.

Mtu kununua vitabu mbalimbali na kuvipanga mezani kwake, hatua kubwa sana.

Swali la msingi, hivyo vitabu kwenye kabati/shelfu zuri umevisoma? Kama hujavisoma umemwekea nani? Au umewaandalia watoto wako urithi?

Mtu anaweza kupata sifa nyingi sana nzuri, akapata hongera nyingi sana kwa marafiki zake.

Hongera hizi ni za kuona vile amejaza vitabu vizuri, wanaona anavisoma na ana maarifa mengi.

Hili ninalolisema hapa sio wote wanalo, ila wapo tunanunua vitabu ila hatuvisomi, tunapewa zawadi mbalimbali za vitabu ila hatuvisomi.

Tuna vitambulisho vizuri vya kutuwezesha kuingia library, ila hatuendi kusoma vitabu.

Tabia hii imeingia hadi kwenye neno la Mungu, tuna matoleo mengi ya biblia ila hatuyasomi hadi tusikie tumepangwa kuhubiri/kufundisha neno la Mungu.

Hatuna muda wa kusoma biblia, ila tunazo biblia nzuri na kuzipanga mezani na kwenye makabati yetu ya vitabu.

Tuna muda mwingi wa kutembea kwenye mitandao mbalimbali na wengine kuchati tu, na wengine kuongea na simu masaa mengi pasipo kiasi.

Ikiwa umepiga hatua hii kubwa ya kununua vitabu mbalimbali ila hujawa na muda wa kuvisoma, Bora uvigawe kama huna muda wa kuvisoma.

Ikiwa umerudika vitabu kwenye nyumba/ofisi yako pasipo kuvisoma, uza hilo kabati na vitabu vyake vyote.

Ukiona ngumu gawia watu hivyo vitabu, ukiona na wao watakuwa na utaratibu ule ule wa kutokusoma kama wewe. Nenda library ya chuo cha dini yako, vigawe vyote.

Hiyo ndio njia sahihi, kuliko kukaa na vitabu vingi alafu huna muda wa kuvisoma, kuliko kukaa na biblia yako alafu huna muda nayo.

Nakueleza haya kukuonyesha unachofanya sio sahihi, unapaswa kujirekebisha haraka sana, kama umejisikia vibaya baada ya kusoma ujumbe huu, hakikisha unaweka utaratibu mzuri wa kusoma neno la Mungu na vitabu vingine.
Kuna mtu niliwahi kumpa kitabu kizuri sana cha historia, la, nilikikuta kurasa zimenyofolewa, sikuamini na nilijuta.
 
Tatizo sisi tulivyo ukiomba hupewi ndomana watu wanaibiwaga vitu na ndugu zao, unakuta mtu mivitabu, minguo, miviatu, mi begi kaweka tu store, kugawa mgumu.
 
Tatizo sisi tulivyo ukiomba hupewi ndomana watu wanaibiwaga vitu na ndugu zao, unakuta mtu mivitabu, minguo, miviatu, mi begi kaweka tu store, kugawa mgumu.
Kama anavitumia sawa, wapo wamerudika na hawavitumii, wapo wamerudika Vitabu ila hawajawahi kuvisoma, wameweka kama maonyesho tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom