Kuna nguvu ya roho mchafu kwenye vitabu vya wazungu

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,513
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu kisemacho Kuna Roho mchafu kwenye vitabu vya wazungu.

Leo nazungumza na wale wapenzi wa kusoma vitabu hasa vya wazungu.

Kuna watu wanasoma vile vitabu bila kujua kuwa Kuna nguvu ya Roho chafu.

Wasomaji wengi wa vitabu wanajiona wao wanaakili sana kuliko wengine, wanajisemea wao wanamaarifa.

Tena wamekuwa wakiwakashifu ambao hawasomi kwa kujiona wao wanamaarifa makubwa sana kuliko wengine.

Kuna watu wamekuwa wakisoma na kuondoka na maarifa ambayo wao wanaona yanawajenga lakini kuna nguvu ambayo ipo wameibeba.

Tena nguvu hiyo ya Roho mchafu inaharibu hata fikra wanaanza kuwaza maisha yale ya vitabu ambayo ni ya kuwaza sio kweli.

Kuna watu wanasoma vile vitabu mpaka wanaona Mungu hayupo, maana wamepata maarifa ambayo yanawafanya waone ndiyo ya kweli kumbe sio.

Watu wamekuwa mateja kama wa madawa ya kulevya, wanasoma vitabu vya wazungu wanaishi hadi maisha ya vile vitabu vya mabeberu.

Wenzetu wazungu ni wajanja sana, wanapokuja wanakuandikia kitabu si kwamba wanakuwa wanataka ufaidike.

Wanasiri kubwa ndani ya vitabu ambayo wao huandika kwa lengo, waanajua ambacho utafanya ni kushindwa kufikiri ya kwako na kuchukua mawazo yao.

Mzungu anayeweza kukupa muongozo wa kutoka kimaisha kirahisi tu, sahau hilo, toka enzi za ukoloni mzungu amekuwa mjanja aliwadanganya wazee wetu akawapa shanga akachukua madini.

Wamefanikiwa kwa sehemu kubwa, maana wasomaji ni wengi, kuna maarifa ambayo wameyapata lakini ndani yake Yana nguvu ambazo za kishetani.

Kuna ambao wamefanikiwa kiuchumi kwa vitabu lakini wamepata mafanikio hayo kwa nguvu za giza zilizopo kwenye vitabu.

Siri nyingi za giza simewekwa kwenye vitabu ambavyo watu wanaosoma wanazipata na kuongezeka maarifa ya kishetani zaidi.

Ndio maana wasomi wengi hawaamini katika Mungu, maana wanaamini katika Yale waliyoyasoma tu na maarifa waliyoyapata kwenye vitabu.
 
Mi siafiki hilo kwasababu hata biblia tunaamini ni kitabu kitakatifu ila kilitufikia kupitia hao hao wazungu kwanini usiwaze nacho kiliwekwa hizo roho chafu? Kuamini kuwa Mungu yupo au hayupo ni maamuzi ya tafakari ya muhusika ila si kwa wasomi wote wa vitabu.
 
Katika upumbavu siwezi kufanya ni kusoma sijui motivational books ,wana stori kibao wanajifanya wajuaji sijui....Unaposoma vitabu unakuwa limited katika kufirikia tambua hayo ni mawazo ya watu kama wewe.

Kuna jamaa na wenzie tangu advance wanajifanya wana vitabu sijui poor dady rl&rich dady , millionaire club mambo kibao ila hawana kipya zaidi ya kuleta quotes hawana mafanikio yeyote yale ... Kupiga vizinga tu....

Kama unabisha watakuja humu kujifanya wanajua sana na vingereza vyao vya ugoko.
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu kisemacho Kuna Roho mchafu kwenye vitabu vya wazungu.

Leo nazungumza na wale wapenzi wa kusoma vitabu hasa vya wazungu.

Kuna watu wanasoma vile vitabu bila kujua kuwa Kuna nguvu ya Roho chafu.

Wasomaji wengi wa vitabu wanajiona wao wanaakili sana kuliko wengine, wanajisemea wao wanamaarifa.

Tena wamekuwa wakiwakashifu ambao hawasomi kwa kujiona wao wanamaarifa makubwa sana kuliko wengine.

Kuna watu wamekuwa wakisoma na kuondoka na maarifa ambayo wao wanaona yanawajenga lakini kuna nguvu ambayo ipo wameibeba.

Tena nguvu hiyo ya Roho mchafu inaharibu hata fikra wanaanza kuwaza maisha yale ya vitabu ambayo ni ya kuwaza sio kweli.

Kuna watu wanasoma vile vitabu mpaka wanaona Mungu hayupo, maana wamepata maarifa ambayo yanawafanya waone ndiyo ya kweli kumbe sio.

Watu wamekuwa mateja kama wa madawa ya kulevya, wanasoma vitabu vya wazungu wanaishi hadi maisha ya vile vitabu vya mabeberu.

Wenzetu wazungu ni wajanja sana, wanapokuja wanakuandikia kitabu si kwamba wanakuwa wanataka ufaidike.

Wanasiri kubwa ndani ya vitabu ambayo wao huandika kwa lengo, waanajua ambacho utafanya ni kushindwa kufikiri ya kwako na kuchukua mawazo yao.

Mzungu anayeweza kukupa muongozo wa kutoka kimaisha kirahisi tu, sahau hilo, toka enzi za ukoloni mzungu amekuwa mjanja aliwadanganya wazee wetu akawapa shanga akachukua madini.

Wamefanikiwa kwa sehemu kubwa, maana wasomaji ni wengi, kuna maarifa ambayo wameyapata lakini ndani yake Yana nguvu ambazo za kishetani.

Kuna ambao wamefanikiwa kiuchumi kwa vitabu lakini wamepata mafanikio hayo kwa nguvu za giza zilizopo kwenye vitabu.

Siri nyingi za giza simewekwa kwenye vitabu ambavyo watu wanaosoma wanazipata na kuongezeka maarifa ya kishetani zaidi.

Ndio maana wasomi wengi hawaamini katika Mungu, maana wanaamini katika Yale waliyoyasoma tu na maarifa waliyoyapata kwenye vitabu.

Ukisoma sana vitabu akili inafunguka,unaona dunia katika mawanda mapana,na kamwe huwezi danganyika na upuuzi wa dini za kishenzi
 
Katika upumbavu siwezi kufanya ni kusoma sijui motivational books ,wana stori kibao wanajifanya wajuaji sijui....Unaposoma vitabu unakuwa limited katika kufirikia tambua hayo ni mawazo ya watu kama wewe.

Kuna jamaa na wenzie tangu advance wanajifanya wana vitabu sijui poor dady rl&rich dady , millionaire club mambo kibao ila hawana kipya zaidi ya kuleta quotes hawana mafanikio yeyote yale ... Kupiga vizinga tu....

Kama unabisha watakuja humu kujifanya wanajua sana na vingereza vyao vya ugoko.
umemaliza kila kitu
 
Ukisoma sana vitabu akili inawaza mawazo ya watu hupati muda wa kufikiri mawazo yako..
Hapana Donatila
Mimi sikubaliani na wewe, ninaposoma vitabu napata uwezo wa kuchambua zaidi, na ninapokutana na vikwazo vya aina fulani natumia maarifa niliyoyapata kutoka kwa watu tofauti tofauti namna walivyoweza kutatua changamoto hiyo.
Uwepo wa Mungu pia tumepata kutokana na mafundisho ya watu wengine tukayapima na kuyaamini, kumbuka maarifa hayo yako katika vitabu viliandikwa na watu wengine, aidha uislamu na ukristo, binafsi ni Mkristo kwa sababu nimezaliwa katika familia ya kikristo, lakini ukristo wangu haunizuii kujifunza uislamu na kujua misingi yake na kufananisha na ukristo ili kupata uhakika wa kile ninachokiamini, nimejifunza vitu vingi sana, na bado naendelea kujifunza na kutafiti, lakini nayatumia mafundisho haya kupanua kile ninachokiamini.
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu kisemacho Kuna Roho mchafu kwenye vitabu vya wazungu.

Leo nazungumza na wale wapenzi wa kusoma vitabu hasa vya wazungu.

Kuna watu wanasoma vile vitabu bila kujua kuwa Kuna nguvu ya Roho chafu.

Wasomaji wengi wa vitabu wanajiona wao wanaakili sana kuliko wengine, wanajisemea wao wanamaarifa.

Tena wamekuwa wakiwakashifu ambao hawasomi kwa kujiona wao wanamaarifa makubwa sana kuliko wengine.

Kuna watu wamekuwa wakisoma na kuondoka na maarifa ambayo wao wanaona yanawajenga lakini kuna nguvu ambayo ipo wameibeba.

Tena nguvu hiyo ya Roho mchafu inaharibu hata fikra wanaanza kuwaza maisha yale ya vitabu ambayo ni ya kuwaza sio kweli.

Kuna watu wanasoma vile vitabu mpaka wanaona Mungu hayupo, maana wamepata maarifa ambayo yanawafanya waone ndiyo ya kweli kumbe sio.

Watu wamekuwa mateja kama wa madawa ya kulevya, wanasoma vitabu vya wazungu wanaishi hadi maisha ya vile vitabu vya mabeberu.

Wenzetu wazungu ni wajanja sana, wanapokuja wanakuandikia kitabu si kwamba wanakuwa wanataka ufaidike.

Wanasiri kubwa ndani ya vitabu ambayo wao huandika kwa lengo, waanajua ambacho utafanya ni kushindwa kufikiri ya kwako na kuchukua mawazo yao.

Mzungu anayeweza kukupa muongozo wa kutoka kimaisha kirahisi tu, sahau hilo, toka enzi za ukoloni mzungu amekuwa mjanja aliwadanganya wazee wetu akawapa shanga akachukua madini.

Wamefanikiwa kwa sehemu kubwa, maana wasomaji ni wengi, kuna maarifa ambayo wameyapata lakini ndani yake Yana nguvu ambazo za kishetani.

Kuna ambao wamefanikiwa kiuchumi kwa vitabu lakini wamepata mafanikio hayo kwa nguvu za giza zilizopo kwenye vitabu.

Siri nyingi za giza simewekwa kwenye vitabu ambavyo watu wanaosoma wanazipata na kuongezeka maarifa ya kishetani zaidi.

Ndio maana wasomi wengi hawaamini katika Mungu, maana wanaamini katika Yale waliyoyasoma tu na maarifa waliyoyapata kwenye vitabu.
Hata bible ni kitabu Cha wazungu
 
Ukisoma sana vitabu akili inafunguka,unaona dunia katika mawanda mapana,na kamwe huwezi danganyika na upuuzi wa dini za kishenzi
Unakuwa limited hauna jipya ,unafungwa na mawazo ya watu ...Unabaki kuquotes vitu vya hovyo kumbe ni muuza bar huko kijijini ila unajiona ushakuwa mzungu.

Ukitaka kujua kila tajiri anaandika kitabu chake hakuwahi kufuata cha mwingine shtuka kutoka usingizini...Hata research wenye akili wanajua ndio maana hakuna plagiarism huwezi kuwa na akili timamu wka kusoma mawazo ya watu mwisho wa siku utakuwa na ndoto ya kuishi nchi ya kusadikika.
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu kisemacho Kuna Roho mchafu kwenye vitabu vya wazungu.

Leo nazungumza na wale wapenzi wa kusoma vitabu hasa vya wazungu.

Kuna watu wanasoma vile vitabu bila kujua kuwa Kuna nguvu ya Roho chafu.

Wasomaji wengi wa vitabu wanajiona wao wanaakili sana kuliko wengine, wanajisemea wao wanamaarifa.

Tena wamekuwa wakiwakashifu ambao hawasomi kwa kujiona wao wanamaarifa makubwa sana kuliko wengine.

Kuna watu wamekuwa wakisoma na kuondoka na maarifa ambayo wao wanaona yanawajenga lakini kuna nguvu ambayo ipo wameibeba.

Tena nguvu hiyo ya Roho mchafu inaharibu hata fikra wanaanza kuwaza maisha yale ya vitabu ambayo ni ya kuwaza sio kweli.

Kuna watu wanasoma vile vitabu mpaka wanaona Mungu hayupo, maana wamepata maarifa ambayo yanawafanya waone ndiyo ya kweli kumbe sio.

Watu wamekuwa mateja kama wa madawa ya kulevya, wanasoma vitabu vya wazungu wanaishi hadi maisha ya vile vitabu vya mabeberu.

Wenzetu wazungu ni wajanja sana, wanapokuja wanakuandikia kitabu si kwamba wanakuwa wanataka ufaidike.

Wanasiri kubwa ndani ya vitabu ambayo wao huandika kwa lengo, waanajua ambacho utafanya ni kushindwa kufikiri ya kwako na kuchukua mawazo yao.

Mzungu anayeweza kukupa muongozo wa kutoka kimaisha kirahisi tu, sahau hilo, toka enzi za ukoloni mzungu amekuwa mjanja aliwadanganya wazee wetu akawapa shanga akachukua madini.

Wamefanikiwa kwa sehemu kubwa, maana wasomaji ni wengi, kuna maarifa ambayo wameyapata lakini ndani yake Yana nguvu ambazo za kishetani.

Kuna ambao wamefanikiwa kiuchumi kwa vitabu lakini wamepata mafanikio hayo kwa nguvu za giza zilizopo kwenye vitabu.

Siri nyingi za giza simewekwa kwenye vitabu ambavyo watu wanaosoma wanazipata na kuongezeka maarifa ya kishetani zaidi.

Ndio maana wasomi wengi hawaamini katika Mungu, maana wanaamini katika Yale waliyoyasoma tu na maarifa waliyoyapata kwenye vitabu.
ACHANA NA WAZUNGU...USHASOMA KITABU CHA WAARABU WA KALE KINAITWA AL AZIF ?????
AU KITABU CHA WAYAHUDI KINAITWA OMIR?????
AU KITABU CHA WAMONGOL KINAITWA PAAL???
AU KITABU CHA WAAZERI KINAITWA BAKUL???
AU KITABU CHA WACHINA KINAITWA XGUANG???
HAPO BADO SIJAKUWEKEA VITABU VYA DINI KUBWA KUBWA DUNIANI.......VYOTE HIVYO VINA VIAMBATA VYA KIROHO KWA WANAOVITUMIA KWA NIA MBALIMBALI
 
Habari wakuu,

Husika na kichwa cha habari hapo juu kisemacho Kuna Roho mchafu kwenye vitabu vya wazungu.

Leo nazungumza na wale wapenzi wa kusoma vitabu hasa vya wazungu.

Kuna watu wanasoma vile vitabu bila kujua kuwa Kuna nguvu ya Roho chafu.

Wasomaji wengi wa vitabu wanajiona wao wanaakili sana kuliko wengine, wanajisemea wao wanamaarifa.

Tena wamekuwa wakiwakashifu ambao hawasomi kwa kujiona wao wanamaarifa makubwa sana kuliko wengine.

Kuna watu wamekuwa wakisoma na kuondoka na maarifa ambayo wao wanaona yanawajenga lakini kuna nguvu ambayo ipo wameibeba.

Tena nguvu hiyo ya Roho mchafu inaharibu hata fikra wanaanza kuwaza maisha yale ya vitabu ambayo ni ya kuwaza sio kweli.

Kuna watu wanasoma vile vitabu mpaka wanaona Mungu hayupo, maana wamepata maarifa ambayo yanawafanya waone ndiyo ya kweli kumbe sio.

Watu wamekuwa mateja kama wa madawa ya kulevya, wanasoma vitabu vya wazungu wanaishi hadi maisha ya vile vitabu vya mabeberu.

Wenzetu wazungu ni wajanja sana, wanapokuja wanakuandikia kitabu si kwamba wanakuwa wanataka ufaidike.

Wanasiri kubwa ndani ya vitabu ambayo wao huandika kwa lengo, waanajua ambacho utafanya ni kushindwa kufikiri ya kwako na kuchukua mawazo yao.

Mzungu anayeweza kukupa muongozo wa kutoka kimaisha kirahisi tu, sahau hilo, toka enzi za ukoloni mzungu amekuwa mjanja aliwadanganya wazee wetu akawapa shanga akachukua madini.

Wamefanikiwa kwa sehemu kubwa, maana wasomaji ni wengi, kuna maarifa ambayo wameyapata lakini ndani yake Yana nguvu ambazo za kishetani.

Kuna ambao wamefanikiwa kiuchumi kwa vitabu lakini wamepata mafanikio hayo kwa nguvu za giza zilizopo kwenye vitabu.

Siri nyingi za giza simewekwa kwenye vitabu ambavyo watu wanaosoma wanazipata na kuongezeka maarifa ya kishetani zaidi.

Ndio maana wasomi wengi hawaamini katika Mungu, maana wanaamini katika Yale waliyoyasoma tu na maarifa waliyoyapata kwenye vitabu.
Wasomaji wengi wa vitabu wanajiona wao wanaakili sana kuliko wengine, wanajisemea wao wanamaarifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Biblia unayoisoma kila siku ni kitabu kilicholetwa na Wamisionari Wazungu ili kupumbaza Akili yako kuamini kwenye miujiza ya Mungu asiye kuwepo.

When the missionaries came to Africa they had a Bible we had the Land, They said let us pray we closed our eyes when we opened them they had the Land we had the Bible.
 
Unakuwa limited hauna jipya ,unafungwa na mawazo ya watu ...Unabaki kuquotes vitu vya hovyo kumbe ni muuza bar huko kijijini ila unajiona ushakuwa mzungu.

Ukitaka kujua kila tajiri anaandika kitabu chake hakuwahi kufuata cha mwingine shtuka kutoka usingizini...Hata research wenye akili wanajua ndio maana hakuna plagiarism huwezi kuwa na akili timamu wka kusoma mawazo ya watu mwisho wa siku utakuwa na ndoto ya kuishi nchi ya kusadikika.
Hao matajiri walisoma vya watu wakaandika vyao
 
Nilisoma chuo na jamaa mmoja alikuwa anasoma sana vitabu ilifikia hatua kila kitu anacho kiongea lazima atoe quote kwenye kitabu hata kama kitu cha kawaida kabisa kwa mfano kuna siku aliwahi kusema " Rais mstaafu Daniel Arap Moi wa Kenya anasema ukitaka kupiga deki nyumba yako lazima uwe na maji na tambara la deki"

He! Yani hata kupiga tu deki mpaka umsikilize Moi anasema nini?
Wewe kama Wewe huna akili yako?

Too much of anything is harmful
 
Hao matajiri walisoma vya watu wakaandika vyao
Uongo kuandika vitabu ni sanaa kama nyingine kwa vile kuna reference hata Eric shigongo anaandika ,yericho yule anachukua reference kupata ujuzi wa kuandika vitabu.

Kiufupi labda kama unataka kuwa mwandishi wa vitabu ila kusoma vitabu sio kigezo cha kuwa bora kuliko wengine

..Hivyo vitabu ni biashara labda kama wangekuwa wanatoa bure.
 
Back
Top Bottom