Vyakula vinavyobaki kwenye mighahawa huwa vinapelekwa wapi?

Kinachanganywa na cha leoleo kiustadi Sana, ukigundua wewe no jiniaz, labda kwa Hawa mama ntilie ndo unaweza gundua, lakini mahotelini hugundui, hata ugali wenyewe unayeyushwa kiufundi unapikwa upya unakula vizuri tu unashushia na juice ya miwa
bahati nzur na mimi ni mpishi naelewa sana hizo ishu
 
Heshima kwenu wakuu.

Kama kichwa kinavojieleza hapo juu, naomba kujua vile vyakula vinavyobaki baada ya mauzo ya siku kule kwenye mahoteli, migahawa na mama lishe huwa vinaenda wapi?
Msaada kwa anaejua maana nina wasiwasi huwa tunalishwa viporo.
Kuna process inaitwa "Recycle",basi ndio huwa wanaenda kumwaga huko!
 
Hahaahaha mkuu, acha utani wa ngumi huo.
Sio uongo Mkuu.
Biashara ya chakula INA vitu vingi sana vya ajabu.
Haitofautiani na biashara ya duka ambapo panya anapoingia kwenye mafuta ya kula utolewa na kutupwa na mafuta kuuzwa kama kawaida.
Panya kunyea unga ndio usiseme,kama huna chekecheo full kula ma..vi ya panya.
Vipi kuhusu maharagwe yenye dumuzi boarding schools?
 
Sio uongo Mkuu.
Biashara ya chakula INA vitu vingi sana vya ajabu.
Haitofautiani na biashara ya duka ambapo panya anapoingia kwenye mafuta ya kula utolewa na kutupwa na mafuta kuuzwa kama kawaida.
Panya kunyea unga ndio usiseme,kama huna chekecheo full kula ma..vi ya panya.
Vipi kuhusu maharagwe yenye dumuzi boarding schools?
Duuh mkuu umeenda mbali ila ndo uhalisia wa maisha yetu. Ngoja twendelee kula viporo kama hatuna njia mbadala ya kukiboresha
 
Back
Top Bottom