She loves Me
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 809
- 939
Kama vipi koroga uji muda wa kumwaga mzigo unamwagia shemeji
Weka kama vijiko 2 vya swaumu na 2 tangawizi kuisha mimina asali kikombe cha chai. Hata ikipungua au kuongezeka hamna shida maana vyote ni vyakulamkuu tunaomba vipimo vyauo mchanganyo
Kula diet iliyokamilika basi au mlo kamili. Lakini waweza kutumia asali, Samaki, maboga na mbegu zake , maziwa, Bamia, ndizi, jamii ya mikaranga, tikitimaji, vitunguu swaumu na maji, karoti, mayai ya kienyeji, soya .supu + nyama N.k. balanced diet ni muhimu Sana. Sio ukafakamie sembe yako haitakusaidia.Am sowing my wild oats.