nadry
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 606
- 596
ndo kitu gani hicho mkuuAiseee ukiwa na mazoea ya kunywa upula mara kwa mara inafika wakati hadi unaogopa boxa inataka kutatuka kwa mbele maana si kwa kudindisha kidudu namna ile aseeee
Changanya asali, tangawizi na vitunguu swaumu. Visage au uvipondeponde halafu uchanganganye na asali kiasi. Tumia baada ya Massa 12 vijiko viwili ( vya chakula) asubuhi na Jioni. Baada ya wiki tu utaleta mrejesho hapa mpaka demu atalalamika unamwaga nyingi sana
Upula kwa kiswahili fasaha?Aiseee ukiwa na mazoea ya kunywa upula mara kwa mara inafika wakati hadi unaogopa boxa inataka kutatuka kwa mbele maana si kwa kudindisha kidudu namna ile aseeee
Mti wa Azadirachta Indica
Mie huyo nile? sio mimi niliouliza