Raia mpya
JF-Expert Member
- Apr 12, 2022
- 323
- 954
Brothers niaje kaka zangu leo ngoja niwape ka challenge, ni maneno gani ukiambiwa na mwanamke unahisi ni uongo?
Kwa mfano mi demu aisee akinambia eti "upo peke yako" yaani hapo ndo nazidi kupata mashaka nahisi nasaidiwa😀😀
Au akinambia nakupenda ndiyo siaminigi kabisaa naona kama anataka kibunda changu tu.
Vipi kwa upande wako maneno gani huyaamini kutoka kwa hizi species
Kwa mfano mi demu aisee akinambia eti "upo peke yako" yaani hapo ndo nazidi kupata mashaka nahisi nasaidiwa😀😀
Au akinambia nakupenda ndiyo siaminigi kabisaa naona kama anataka kibunda changu tu.
Vipi kwa upande wako maneno gani huyaamini kutoka kwa hizi species