Mkuu samahani wewe ni SHE/HE?
Dah msitutamanishe wengine tushazoea gemu za mchana full joto afu ndo tuwazie hizo za mida hiyo inabidi tufanye fasta tuvute ndani!
Dah msitutamanishe wengine tushazoea gemu za mchana full joto afu ndo tuwazie hizo za mida hiyo inabidi tufanye fasta tuvute ndani!
aaaarrghhh,
nimekuja spidi kali nikajua dili si unajua wengine tuko kikazi zaidi,
kumbe unaongelea mambo yetu yaleee!.
Mm sikubaliana na hilo, ngoma mchana kweupeee ndy inanoga! tena mambo yanaanzia jikoni wakati waifu anapika juu ya meza mguu mmoja kwenye sinki!.....mwe! ah ah mpira unatambaa mpaka sebuleni kwenye zulia, ngoma inaenda kuishia bafuni wife kashika tepu ya majimoto!! Poleni mnaoishi Jotoni. shamba kuna raha yake bwa na, hasa watoto wakiwa shule!
Afadhali waanaoenda kazini mwenzio leo nimetangaza sick gari ya kazini ikiwa nje...loh!!mapenzi haya jamani...naogopa tu kuaribu kazi
ukitaka kuolewa/kuoa ujue kuna majukumu na uko on call 24hrs.....japo wengi hili linawashinda.Usiku wa manane usingizi ulivyokuwa mtamu, halafu mtu atake mchezo jamani, kweli ndoa kaziiiiiiiiiiiiiii!!!
ukitaka kuolewa/kuoa ujue kuna majukumu na uko on call 24hrs.....japo wengi hili linawashinda.