chloe.obrain
JF-Expert Member
- Feb 25, 2010
- 391
- 20
inaelekea ukishakula na kunywa lazima ujinyonge look at the noose on the left
wire wa antena ya kichinana hiyo kamba ni ya nini hapo mlangoni
ni pahali pangu pa business jamani au sitapata wateja? hiyo kamba sio ya kujinyongea ni ukarabati unamalizika tu.