Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,998
- 32,441
Kuna mods wamebadilisha heading ya hii thread..
Mkuu wewe ulikuwa unataka waandikaje? JF sio sehemu ya porojo.
Kuna mods wamebadilisha heading ya hii thread..
One step at a time.
Hivi wameshindwaje kumpopoa rais dhaifu hao wanakijiji?
Hivi msafara wa rais mnauzuiaje? Hapa bado nahitaji technical explanations za namna ambavyo hili limefanyika.
Mkuu sasa wewe unatoa amri huku umejificha nyuma ya Laptop jitokeze basi wewe upopoe mawe msafara ndio utajua nidhamu ya jeshi la polisi wetu na udhaifu unaousema ndio utaujua siku hiyo.
Unauliza nini na kitu kimeshaelezwa
ni rahisi kutupa ulichonacho mkononi ila ni ngumu kupata ulichokitupacomfermed,tena hao ffu wangechelewa angeona moto.aluta continua mpaka tuikomboe nchi
Hivi msafara wa rais mnauzuiaje? Hapa bado nahitaji technical explanations za namna ambavyo hili limefanyika.[/QUOTE
WANANCHI WAKIAMUA WANAWEZA KUUZUIA KWA JINSI NJIA ZA DAR ZILIVYO BASI MWENYEZI MUNGU ATUEPUSHIE MBALI
Mbona mbeya walimchapa mawe? hata bongo kunasiku tutamchapa DHAIFU asubutu kwenda Muhimbili kupeleka unafki aone
Wameuzuia vipi huo msafara?
Watu wasiojukikana walikuwa na nia gani wamezuia msafara wa Rais uliolukuwa unapita maeneo ya Namanga.
Watu hao walizuia kwa muda wa sakika kadha hivi kabla ya FFU kutinga maeneo hayo na kuwatimua na ndipo msafara ukapita mpaka sasa FFU wapo kwenye purukushani ya sombasomba maeneo hayo ya namanga.
Chanzo Nimepita hapo muda sio mrefu.
Hivi mnasemaje?Kwamba nimepigwa mawe?Nimenyamaza sana sasa kila mmoja anaandika atakalo,naingia ndani,nikitoka sasa nitatoka na mwingine.Acheni viherehere,mbona uongozi
Tusiandikie mate na wino upo J,pili saa 11 jioni Rais anatapita Morogoro road njoo upopoe mawe uone serikali dhaifu watakavyofanya kazi.
Safi saaaana kwani alikuwa nakwenda wapi au shambani