It is Sur_Plus
Senior Member
- Sep 28, 2010
- 167
- 7
Safi kabisa ndo wanayoyataka CCM
Hiyo sio hali nzuri ila hawa ccm wanachokoza watu alafu wanataka kusingizia upinzani. Haiwezekani majimbo ya mbali matokeo yametoka mijini mpaka kutoana damu. Why???????? CCM why??????????