It is Sur_Plus
Senior Member
- Sep 28, 2010
- 167
- 7
Katika vurugu zilizo tapakaa mji wa mbeya sasa ivi. Shule xa wasichana Loleza imechomwa moto. Mji mzima umechafuka vikosi vyote vya usalama vya mwagwa mitaan
Safi kabisa ndo wanayoyataka CCM
Hiyo sio hali nzuri ila hawa ccm wanachokoza watu alafu wanataka kusingizia upinzani. Haiwezekani majimbo ya mbali matokeo yametoka mijini mpaka kutoana damu. Why???????? CCM why??????????