It is Sur_Plus
Senior Member
- Sep 28, 2010
- 167
- 7
Katika vurugu zilizo tapakaa mji wa mbeya sasa ivi. Shule xa wasichana Loleza imechomwa moto. Mji mzima umechafuka vikosi vyote vya usalama vya mwagwa mitaan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi kabisa ndo wanayoyataka CCM
Hiyo sio hali nzuri ila hawa ccm wanachokoza watu alafu wanataka kusingizia upinzani. Haiwezekani majimbo ya mbali matokeo yametoka mijini mpaka kutoana damu. Why???????? CCM why??????????